Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Na madam polepole naye anatakiwa ampigie kura msanii waocha msingi Dr. Mahera atampigia kura huyo Chuchu sijui Zuchu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na madam polepole naye anatakiwa ampigie kura msanii waocha msingi Dr. Mahera atampigia kura huyo Chuchu sijui Zuchu
Afrimma 2020 NomineesUna link ya kumpigia kura msanii yeyote wa Nigeria hapo ? tuanze mchakato wa kuwainua wapwa wa Naija
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mpigie wewe wifi yakemama kubwa Zuchu ajakuomba kura wewe hizo ni shobo zako mwenyewe yeye kaomba mashabiki wake wanaotaka kumpigia kura.
Kwanini malaya mnaojifanyaga , nyinyi sio maccm, mwisho wa siku huwa mnaonyesha your true colours ?
Innocent independent unabinua binua tu tako lako, lakini kaa ukijua kura zetu zitaenda Nigeria. Zuchu atapigiwa kura na maccm wenzake.siteseki ila mnajisumbua sana
Nini tafsiri yako ya Movement ?Basi sawa haikuwa na haja ya kuanzisha mpaka movement maana kuanzisha movement ni sawa na kuonyesha kisasi kama vile hukubaliani na haki yake ya kidemokrasia. yeye kwa sasa kusimama jukwaani na kupiga kampeni ni sawa maana ni kipindi cha kampeni... Lakini yote sawa demokrasia nikukubali kutokubaliana.
Huu ni unafki kama ni harakati msichague pa kuzifanyia. Kwanini msigomee kushabikia na simba kwani hata bosi wao si aliunga mkono upande fulani. Msichague cha kuona il’hali mnajifaya mna macho mazima. Pili sidhani hata wasanii mnaowalaumu ilitokea hata siku moja watu wakanunua nyimbo zao zaidi ya kuzipakua bure. MUACHE UNAFKI HIZO HARAKATI MNAZICHANGANYA NA SIASA.Mimi pia nitawapigia kura akina dovido, kuwa msanii au public figure maana yake wewe ni sehemu ya jamiii na unatakiwa kuwa neutral ili kubalance image yako kwenye jamii, sasa unapoonekana kuunga mkono upande fulani ilhali kazi yako inategemea jamii nzima, jamii nayo itakugawa kwa itikadi zao
Nipo na tickets mbili hapa twenzetu nigeriaTunapigia nigeria ndiwooo
Zuchu achukue Grammy?Umepiga kura ya grammy kweny link gani?[emoji16] Na dem atachukua award yan hamtoamin wazee wa kuitoa ccm...
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Usje ukafuta tu hii comment ..Zuchu achukue Grammy?
Kupata vichekesho kama hivi tunabonyeza ngapi?
Tulia wewe ZUCHU kura sijakupigia,kamwambie Mahera na Polepole wakupigieNimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.
Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Muda mwingine kupeana moyo ni vizuri ila sio kama hivyo aseeh
Uwii nakujaaNipo na tickets mbili hapa twenzetu nigeria
Eti ohh wataweza kweli?Uwii nakujaa
Unakwama kumtia hata kidole huyo juma anakubinulia binulia tako mkuuInnocent independent unabinua binua tu tako lako, lakini kaa ukijua kura zetu zitaenda Nigeria. Zuchu atapigiwa kura na maccm wenzake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ilivyo kituko kuitoa ccm kwa kususia wasaniii[emoji16] anyways mzee asubuh njemaMuda mwingine kupeana moyo ni vizuri ila sio kama hivyo aseeh
Hahaha bongo ni vituko vingi
😃😃😃 hebu fikiria watu wako wa karibu,unaowategemea kwenye harakati za kimaisha wakianza kukutenga kwa kuzingatia misimamo ya kiitikadi.Zuchu anasema wapinzani watetereke leo anakuja kuomba kura hadi kwa sisi tunaotakiwa kutetereka?. Mimi binafsi tangu wameanza ujinga wao wa kusapoti CCM mwaka huu sijawahi shabikia msanii yoyote mfano nilikuwa namkubali sana Konde kwa kuwa Wasafi wanambeza na Ali kwa sababu hiyohoyo lakini sasa hivi sijali na sitasupport kazi zao tena.