kulwasalehe
Member
- Sep 11, 2013
- 28
- 16
Mko wangapi?Kama ambavyo wametumia uhuru wao wa kikatiba kushabikia sisiemu na sisi tunautumia kwa kutopiga kura povu la nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mko wangapi?Kama ambavyo wametumia uhuru wao wa kikatiba kushabikia sisiemu na sisi tunautumia kwa kutopiga kura povu la nini?
Sawa ndugu Mnaijeria..By the way visa yako ikiisha muda wake funga virago..Hayo ndio maneno na mambo yakufanya ili kusapoti juhudi za Lissu, wanatubeza hatuwezi kuandamana, sasa tunaanza na wasanii wasihofu CCM wako wengi watawapigia. Ni bora nimpe kura Davido, Wizkid maana wanajitambua.
Sio waTz wote manyumbu kama nyie..Kura za Watanzania wanaojielewa ni Davido na Wizkid mpaka waNigeria washangae mvua ya kura kutoka Tanzania. Tuanze mdogomdogo kwa mambo ambayo yako kwenye uwezo wetu kama hili, TUTAFIKA TU.
stress zikikuisha utafurahia tu miziki yao,ndio ubinadam ulivyoZuchu anasema wapinzani watetereke leo anakuja kuomba kura hadi kwa sisi tunaotakiwa kutetereka?. Mimi binafsi tangu wameanza ujinga wao wa kusapoti CCM mwaka huu sijawahi shabikia msanii yoyote mfano nilikuwa namkubali sana Konde kwa kuwa Wasafi wanambeza na Ali kwa sababu hiyohoyo lakini sasa hivi sijali na sitasupport kazi zao tena.
Hata wapewe 1B hawapandi...Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.
Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Nani mwenye ubavu wa kukataa 1B?Hata wapewe 1B hawapandi...
Halafu huyu dada ana kiherehere.Nafuu ukaolewa kitapungua.Mjuaji alafu hujui km hujuiNimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.
Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Well said mkuu,kuna mambo lazima tuunyooshane kisawasawa.Ili heshima iwepo.hamna namna.Kura za Watanzania wanaojielewa ni Davido na Wizkid mpaka waNigeria washangae mvua ya kura kutoka Tanzania. Tuanze mdogomdogo kwa mambo ambayo yako kwenye uwezo wetu kama hili, TUTAFIKA TU.
Word!wahurumie tu hao wasanii wanafanya vile ili kulinda maslahi yao ,usimwone Diamond au alikiba anakata mauno ya Yope jua limewaka saa saba halafu Dodoma siyo kwamba wanapenda ni kwa vile hawana namna ili mambo yao yaende
Hata hili la s2 keyz nahisi waliandaa wao. Mbona wamelishikia bango sana, kaanza pole pole sasa naskia hadi msemaji wa serikali nae kafika! Kweli?!!? Hili suala linauzito huu?!?! Mbona kama wanatumia nguvu kubwa sana kuonekana wapo na wanajali??!!. Watu wavamie tu studio na wapige watu!?!? Kuna jambo hapa sio bure.Ole wao Diamond na timu yake wangekataa kumpigia kampeni Pogba, ndio ungekuwa mwanzo wao wa kufilisika. We usicheze na Mafia mob.
We angalia mwaka 2015 wameshindwa uchaguzi kule Zanzibar na kila mtu anajua, si unaona sinema iliyochezwa.
Mfano mwingine angalia Tundu Lisu, wamemtengua kiuno kumpunguza speed, imagine moto aliokuwa nao kipindi ile wangemuacha mpaka leo?
Hawa CCM ni Mafia, usicheze nao.
Kama woteMko wangapi?
Ukapimwe akili utakua na matatizo Sana!!Zuchu anasema wapinzani watetereke leo anakuja kuomba kura hadi kwa sisi tunaotakiwa kutetereka?. Mimi binafsi tangu wameanza ujinga wao wa kusapoti CCM mwaka huu sijawahi shabikia msanii yoyote mfano nilikuwa namkubali sana Konde kwa kuwa Wasafi wanambeza na Ali kwa sababu hiyohoyo lakini sasa hivi sijali na sitasupport kazi zao tena.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Wekeni link tuwapigie kura kina wizkid na davido fasta