Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

Ninachokielewa mimi, shabiki wa WCB atawapigia Kura bila kujali upande wa kisiasa waliouchagua hao wasanii, kwasababu mafanikio waliowahi kuyapata huko nyuma, waliyapata wakiwa hukohuko CCM, au wakati ule CHADEMA haikuwepo? Kama waliweza kufanikiwa wakati ule CHADEMA ni ya moto basi hata sasa hakitabadilika kitu.
 
[emoji2][emoji2][emoji2] hebu fikiria watu wako wa karibu,unaowategemea kwenye harakati za kimaisha wakianza kukutenga kwa kuzingatia misimamo ya kiitikadi.
Watu wangu wa karibu wote tuna misimamo sawa ya kiitikadi maana hali ya kimaisha tuliyopitishwa na bwn huyu inalingana.
 
Watu wangu wa karibu wote tuna misimamo sawa ya kiitikadi maana hali ya kimaisha tuliyopitishwa na bwn huyu inalingana.
😃😃 Wewe hutakuja kutoboa kimaisha.Na sababu pekee ni wewe kuishi na kuzungukwa na watu ambao mnalingana katika kila kitu, kuanzia mawazo mpaka hali ya kiuchumi kama ulivyodai hapo 🖕.
 
[emoji2][emoji2] Wewe hutakuja kutoboa kimaisha.Na sababu pekee ni wewe kuishi na kuzungukwa na watu ambao mnalingana katika kila kitu, kuanzia mawazo mpaka hali ya kiuchumi kama ulivyodai hapo [emoji867].
Ili nitoboe kimaisha inabidi niwe kama huyu afisa elimu hapo chini sio?

Maana kwa CCM huyo jamaa hapo ameyapatia maisha mbaya kabisaaa.
Screenshot_2020-10-08-23-57-29-1.jpg
 
Ili nitoboe kimaisha inabidi niwe kama huyu afisa elimu hapo chini sio?

Maana kwa CCM huyo jamaa hapo ameyapatia maisha mbaya kabisaaa.View attachment 1598557
Sio lazima uwe CCM, na sidhani kama kuna sehemu yoyote nimewahi kukushawishi uhamie CCM. Sababu za wewe kutotoboa ni kukaa na kuzungukwa na watu unaodai kuwa mmefanana kuanzia namna ya kufikiri, Hadi uchumi wenu.
Hakuna chama kitakachokuletea maisha mazuri moja kwa moja mfukoni kwako, Sasa hayo mambo ya wewe kuhamia CCM ili utapatie maisha sijui umeyatoa wapi.
 
Sio lazima uwe CCM, na sidhani kama kuna sehemu yoyote nimewahi kukushawishi uhamie CCM. Sababu za wewe kutotoboa ni kukaa na kuzungukwa na watu unaodai kuwa mmefanana kuanzia namna ya kufikiri, Hadi uchumi wenu.
Hakuna chama kitakachokuletea maisha mazuri moja kwa moja mfukoni kwako, Sasa hayo mambo ya wewe kuhamia CCM ili utapatie maisha sijui umeyatoa wapi.

Mimi ni utingo tu mzee baba,karibu utupe msaada kwny tuta hapo labda itatusaidia na sisi kutoboa na kua fogo kama wewe dingilai.
Ej90XzoXsAEhEXM.jpg
 
wahurumie tu hao wasanii wanafanya vile ili kulinda maslahi yao ,usimwone Diamond au alikiba anakata mauno ya Yope jua limewaka saa saba halafu Dodoma siyo kwamba wanapenda ni kwa vile hawana namna ili mambo yao yaende
na leo mvuha imewanyeshea mburahati
 
Mimi ni utingo tu mzee baba,karibu utupe msaada kwny tuta hapo labda itatusaidia na sisi kutoboa na kua fogo kama wewe dingilai.View attachment 1598578
Hayo ndo mambo ya kujadiliana, sio kunyimana ugali (Kama mbavyotaka kuwanyima wasanii kura zenu),kwa misingi ya kiitikadi.

Ni bora mtu atakaedai kuwa hawapigii Kura kwakuwa sio shabiki wao, sio hayo mawazo ya kiitikadi.
 
Hayo ndo mambo ya kujadiliana, sio kunyimana ugali (Kama mbavyotaka kuwanyima wasanii kura zenu),kwa misingi ya kiitikadi.

Ni bora mtu atakaedai kuwa hawapigii Kura kwakuwa sio shabiki wao, sio hayo mawazo ya kiitikadi.
Hahah kumbuka unajadiliana na konda/utingo mzee baba,hana exposure wala nini.

Lkn ataazima simu kwa dereva wake na atawapigia kura wa-ghana maana Nyerere mwenyewe alisema Africa ni moja na waafrika ni wamoja.
 
Kuna maeneo watu hawazikani ndio itakuwa kumpigia kura Zuchu
 
Kuwa na chama hakuna anekatazwa lakini pale ambapo unategemea ulaji wako kutoka kwa fans ambao ni wananchi basi inabidi ujiweke neutral ili usiwagawe fans wako, kama ni ushabiki wa siasa kaufanye kwenye boksi la kura

On the other hand ndio maana wachungaji na viongozi wa dini wenye akili na hata wafanyabiashara wenye akili huwa hawajihusishi na siasa ili kuepuka kugawa wateja, waumini nk

Sio kwamba hawana vyama, ila wanaepuka kuharibu biashara zao kwa sababu ya siasa

Kule kwao Beyonce, Jay-Z, Taylor Swift na mastaa kibao wa kule Holywood wanaunga mkono Democratic Party kwa waziwazi. Kila kipindi cha uchaguzi wamekuwa wanatumia nafasi walizonazo kuwashawishi watu wapigie kura chama hicho. Tena wapo wanaopanda mpaka jukwaani kuwanadi wagombea.
Kila mtu ana uhuru wa kufanya anachotaka kama sheria inaruhusu, acheni kulialia.
 
Back
Top Bottom