Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
š¤£š¤£š¤£ Haya bwana utingo, si tunashukuru tu kwa kuwa Kodi yako inabaki hapa tz, haiendi kwenu Ghana. Hayo mengine hayatutii hasara yoyote.Hahah kumbuka unajadiliana na konda/utingo mzee baba,hana exposure wala nini.
Lkn ataazima simu kwa dereva wake na atawapigia kura wa-ghana maana Nyerere mwenyewe alisema Africa ni moja na waafrika ni wamoja.