Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

Hii movement ya fans wa CHADEMA kwa Wasanii inanichekesha

Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.


Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Tanzania ni nchi yenye vituko sana. Watu wanadai demokrasia lakini hawakubali kuona wenzao wanachagua upande. Sasa unabaki unajiuliza hiyo demokrasia wanayoidai ni ipi? Je wanatofauti gani na wale wanaosema wanakandamiza demokrasia?
 
Wasanii 200 wameungana kutusimanga Watanzania ambayo tuna mtazamo tofauti na chama Chao, Leo Wana Jambo Lao wanataja watushirikishe, Tutakuwa labda tunaumwa au tuna mtindio WA Ubongo. Ushauri wamuombe Mahera awasaidie apenyeze Kura za maruhani.
 
Ulipopeleka mboga ndipo utakapopikiwa ugali. Sasa wasanii wamepeleka makali yao CCM, sasa wajipange kiCCM kupata kura, wasilalamike. Wavune walichokipandana.
 
Tanzania ni nchi yenye vituko sana. Watu wanadai demokrasia lakini hawakubali kuona wenzao wanachagua upande. Sasa unabaki unajiuliza hiyo demokrasia wanayoidai ni ipi? Je wanatofauti gani na wale wanaosema wanakandamiza demokrasia?
Soma ulichokiandika halafu tafakari.

Hiyo inayofanywa sasa ndio Demokrasia yenyewe, Diamond na genge lake walichagua upande (kuipigia kampeni CCM) na wapinzani wamechagua upande (kutokuwapigia kura kwenye award).
Hakuna kilichoharibika na hakuna haja ya kulalamika.
 
Soma ulichokiandika halafu tafakari.

Hiyo inayofanywa sasa ndio Demokrasia yenyewe, Diamond na genge lake walichagua upande (kuipigia kampeni CCM) na wapinzani wamechagua upande (kutokuwapigia kura kwenye award).
Hakuna kilichoharibika na hakuna haja ya kulalamika.
Basi sawa haikuwa na haja ya kuanzisha mpaka movement maana kuanzisha movement ni sawa na kuonyesha kisasi kama vile hukubaliani na haki yake ya kidemokrasia. yeye kwa sasa kusimama jukwaani na kupiga kampeni ni sawa maana ni kipindi cha kampeni... Lakini yote sawa demokrasia nikukubali kutokubaliana.
 
Mtende unapoteza muda wako bure hao WCB wanafanbase wengi Sana na Wafuasi wengi diamond na crew yake hawajawahi kushindwa kwa kura na mwaka Jana diamond alipigiwa kura 1 mil kwenye Hiyo tuzo ndio msanii wa Africa aliyoweka hiyo record ya kupata kura nyingi labda washindwe kwa kutumia kigezo kingine ila sio Cha kura
 
Miaka mingi iliyopita nilitia neno ila mashabiki lia lia wa domo walinijia juu eti wao wanapenda muziki wake tu mengine hayawahusu. Leo nimewaona wamekua wa kwanza kutoa povu daah uchaguzi wa mwaka huu joto sana😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.


Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Kajifunze kuandika kwanza.
 
I'm Voting NAIJA.....

🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬🇳🇬
 
Hayo ndio maneno na mambo yakufanya ili kusapoti juhudi za Lissu, wanatubeza hatuwezi kuandamana, sasa tunaanza na wasanii wasihofu CCM wako wengi watawapigia. Ni bora nimpe kura Davido, Wizkid maana wanajitambua.
Mwambie akamuombe mahera na polepole wampigie kura
 
Kuwa na chama hakuna anekatazwa lakini pale ambapo unategemea ulaji wako kutoka kwa fans ambao ni wananchi basi inabidi ujiweke netral ili usiqagawe fans wako, kama ni ushabiki wa siasa kaufanye kwenye boksi la kura

On the other hand ndio maana wachungaji na viongozi wa dini wenye akili na hata wafanyabiashara wenye akili huwa hawajihusishi na siasa ili kuepuka kugawa wateja, waumini nk

Sio kwamba hawana vyama, ila wanaepuka kuharibu biashara zao kwa sababu ya siasa
wanepuka kwa njia hipi..?,wakati kabisa wanakuwa open come on my dear
 
Miaka mingi iliyopita nilitia neno ila mashabiki lia lia wa domo walinijia juu eti wao wanapenda muziki wake tu mengine hayawahusu. Leo nimewaona wamekua wa kwanza kutoa povu daah uchaguzi wa mwaka huu joto sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
tuko pamoja WCB chama letu[emoji123][emoji123][emoji123]
 
Wasanii 200 wameungana kutusimanga Watanzania ambayo tuna mtazamo tofauti na chama Chao, Leo Wana Jambo Lao wanataja watushirikishe, Tutakuwa labda tunaumwa au tuna mtindio WA Ubongo. Ushauri wamuombe Mahera awasaidie apenyeze Kura za maruhani.
acha roho mbaya
 
Soma ulichokiandika halafu tafakari.

Hiyo inayofanywa sasa ndio Demokrasia yenyewe, Diamond na genge lake walichagua upande (kuipigia kampeni CCM) na wapinzani wamechagua upande (kutokuwapigia kura kwenye award).
Hakuna kilichoharibika na hakuna haja ya kulalamika.
una uhakika Kama wapinzani waliwaita...?
 
Alafu utaskia chadema hawategmei wasanii[emoji3]...mim siipend ccm ila kwa hili sio chedema tu..hapa kuna hate ya WCB inatembea..team fulan imetumia chadem kama kichaka tu

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Nachojua mtu yeyote mwenye akili timamu na kujitambua hawezi kuwa upande wa ccm ya magufuli. Na huyo mtu sio lazima awe wa Chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasiopenda wa wcb wamepata chaka la kujifichia
 
Unachokifanya wewe ni hicho hicho wanachokifanya hao watu ,halafu kwanini kila kitu mnahusisha na chadema tu wakati kuna vyama kama ACT na vinginevyo .
Ukweli ni kwamba chama halisi cha upinzani nchini ni kimoja , hao wakina Lipumba ni wahuni tu.
Na lingine si kila anayepinga na hawa maSARS WA CCM ni mfuasi wa chadema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom