Hii mvua inaniletea tamaa ya kutaka kumla mpangaji mwenzangu ila nafsi inasita

Kuna wanawake usianze na reward majukum Yao wanayamudu we Anza na kugonga sema kama ulivyosema hayana formula ila mi napenda kwenda straight naomba mzigo Kisha namuangalia usoni akikubali she thank me later!
Mara nyingi sana iwe j5 ndio wanawake huwa na uhitaji mkubwa wa ngono sijui kwa Nini na kidogo alhamis
 
Miezi 3 alafu anahama kabla
 
Hahaha..
Umemaliza broo
 
Izime switch mpe kwichikwichi ipime izame ndichi inyooke ni mbichimbichi.....
 
Uzinzi ndio kitu unawaza dogo,wenzio wanawaza viwanja wajenge wewe uzinzi.
 
Aisee
 
Ukimla ujue ndo mwisho wako kuleta demu Apo kwako. (UMEPIGA PINI)

Na ikifika miezi 6 unaishi Apo unamla (Hata kama vyumba tofauti) ,kiserikali uyo tayari Ni mkeo😊
 
Usisahau zile 72 dawa baada
 
Unamaliza hiyo miezi mitatu halafu kanahama.
 
WAKUU NIPIGE NIACHE maana kama naziona bill zote hizo juu yangu baada ya GAME.
Una kitu, utafika mbali.

Enewei tunza kibunda

Tumia babycare kwanza ndo uje kujiuliza tena ule ama usile
 
Mjomba usidhani kama kanaelekea halafu eti wewe ndio ukakaomba kakakubali ukajiona mjanja, ujue tayari lazima kana target yake, mjomba kanataka kuongeza idadi ya wasaidizi, chagua ww uwe wa taka, maji, umeme na azam, halafu kuna wa outing, kuna wa chuo wa kujisomea, kuna mzee mstaafu, wewe unaweza kuwa unahudumia mpaka mahitaji mnapika wote ila ukifikia hapo basi akipata mimba 98 % utaambiwa ni yako.

My take: usipende kuwa na mahusiano ambayo hayana faida na jirani, workmate, mfanyakazi wako, utageuka mtumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…