Hii nafasi ya tatu haimponyi Simba!

Hii nafasi ya tatu haimponyi Simba!

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Ni sawa na kusema Maiti imemng'ang'ania muoshaji.
Screenshot_20240420-210004.jpg
 
Leo yanga amecheza kikubwa mno, hakutumia nguvu nyingi, amerelax na kutumia nafasi vema
Hata ukiangalia mentality ya Gamondi alikuwa ana smile kwanzia anaingia uwanjani, ni kama mtu anayefurahia mpira ni kama show ya burudani kwake tofauti na kocha wa Simba aliyeonakana ni mwenye presha kubwa
 
Back
Top Bottom