D DATAZ JF-Expert Member Joined May 25, 2012 Posts 3,799 Reaction score 10,196 Apr 20, 2024 #1 Ni sawa na kusema Maiti imemng'ang'ania muoshaji.
VOICE OF MTWARA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 2,987 Reaction score 1,954 Apr 20, 2024 #2 Leo yanga amecheza kikubwa mno, hakutumia nguvu nyingi, amerelax na kutumia nafasi vema
ngara23 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2019 Posts 9,091 Reaction score 21,087 Apr 20, 2024 #3 Simba ni timu ndogo
vibertz JF-Expert Member Joined Mar 15, 2022 Posts 2,474 Reaction score 4,726 Apr 20, 2024 #4 VOICE OF MTWARA said: Leo yanga amecheza kikubwa mno, hakutumia nguvu nyingi, amerelax na kutumia nafasi vema Click to expand... Hata ukiangalia mentality ya Gamondi alikuwa ana smile kwanzia anaingia uwanjani, ni kama mtu anayefurahia mpira ni kama show ya burudani kwake tofauti na kocha wa Simba aliyeonakana ni mwenye presha kubwa
VOICE OF MTWARA said: Leo yanga amecheza kikubwa mno, hakutumia nguvu nyingi, amerelax na kutumia nafasi vema Click to expand... Hata ukiangalia mentality ya Gamondi alikuwa ana smile kwanzia anaingia uwanjani, ni kama mtu anayefurahia mpira ni kama show ya burudani kwake tofauti na kocha wa Simba aliyeonakana ni mwenye presha kubwa