Hii namber ni ya wapi inanipigia saa nane usiku +94532857343

Duh na mie nilipigiwa kama mara 2 na naba ya code hio mara ya pili ilikua 11 asubuhi
 
number +94532857343 ni ya wap...mbona haina nchi then inanipigia simu from no where tena saa 8 usiku.
Kwa Nini usipokee! Kama una hofu pokea kwa mbali!!!


Unavojiona huwezi kuwa na mtu anayekufahamu nchi za nje!? Afu tunashangaa kwa Nini Kenya wameingiza pesa za kigeni kutuzidi!!! Hiviiiii wataendelea kutuzidi
 
Juzi nimepigiwa na hii namba +50968359788 ikanibidi niingie goggle eti ni Haiti
 
Aliens [emoji89] wanatest Frequencies zao...[emoji1787]

Na wao uchumi umekaza wana anza mtindo wa iyo hela tuma kwa namb hii...[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…