lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
1.Kumlaza mchepuko kwenye kitanda cha mkeo wa ndoa,hii ni kokoro.
2.kujifanya unaidharau ndoo ya bafuni,wakati huohuo unapoenda kuoga unapiga mswaki kwa maji ya ndoo hiyohiyo,hii ni kokoro.
3.Mnamiliki magari zaidi ya moja lakini mkeo unambania kudrive,huku ukiona ufahari kuyabadilisha tu,hii ni kokoro.
4.Wamiliki wa nyumba,tabia ya kuja kuomba mboga kwa mpangaji wako mara kwa mara,hii ni kokoro zaidi(refer 2015-20).
5.Nakudai,lakini unanenepeana kila siku,hii ni zaidi ya kokoro,hapa umeonesha ishara ya kiburi na dharau.
6.Nakupigia simu ulipe deni unanijibu umesafiri wakati nakuona BAR na strippers.hii ni kokoro aisee
2.kujifanya unaidharau ndoo ya bafuni,wakati huohuo unapoenda kuoga unapiga mswaki kwa maji ya ndoo hiyohiyo,hii ni kokoro.
3.Mnamiliki magari zaidi ya moja lakini mkeo unambania kudrive,huku ukiona ufahari kuyabadilisha tu,hii ni kokoro.
4.Wamiliki wa nyumba,tabia ya kuja kuomba mboga kwa mpangaji wako mara kwa mara,hii ni kokoro zaidi(refer 2015-20).
5.Nakudai,lakini unanenepeana kila siku,hii ni zaidi ya kokoro,hapa umeonesha ishara ya kiburi na dharau.
6.Nakupigia simu ulipe deni unanijibu umesafiri wakati nakuona BAR na strippers.hii ni kokoro aisee