Hii nchi ambao wako nje ya utumishi wa umma wana possibility kubwa ya kutajirika kuliko watumishi wa umma.

Hii nchi ambao wako nje ya utumishi wa umma wana possibility kubwa ya kutajirika kuliko watumishi wa umma.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Dunia ya sasa ili upate fedha za kutosha kwa urahisi lazima ujue kuuza sura kwenye mitandao ya kijamii.
Ukijua kucheza na mitandao hulali njaa, huteseki na maisha.
Makampuni yatakutafuta usiku na mchana uweke sura yako na sauti yako kwenye biashara zao.
Mtumishi wa UMMA huwezi kucheza na social media kwa uhuru. Mtumishi wa UMMA unaishi kwa kificho kana kwamba haupo. Ukijenga nyumba kali nongwa, gari kali nongwa.
Kwenye utumishi wa umma kuna wasomi na wazoefu lakini teuzi hizi zikija zitawapata vijana waliomaliza chuo hawana uzoefu kwakuwa tu walijiuza kwenye mitandao ya kijamii, wewe mtumishi na Master's yako utasubiri kazi za kukaimu umeneja.
Ukianza tu kuchekesha mitandaoni kesho unaitwa Ofisni.
Ikumbukwe ili utrend lazima uwakere watu A na uwape furaha watu B, baadaye wote kundi A na kundi B unawaweka pamoja na kuunda kundi C . Sasa huku unaandaa kundi C kabla adhma haijatimia ofisini lazima ukutane na kitu kizito.
Utumishi wa umma ni kifungo.
Fursa za mtumishi ni chache, kufungua duka, kibanda cha uwakala na vitu kama hivyo ambavyo always havina issue. Njaa tupu.
Wanaocheza na media kama Mwijaku, Baba levo, Mpoki, Joti, Masanja, Diamond, Harmonize, Nannauka, na wengine wanapiga sana pesa.
 
Kaachini chakata hili wazo lako tena ukitazama wizara ,taasisi za umaa na mashirika yake.
Pia watumishi wa level gani una zungumzia.?
Pia angalia fringe benefits za.umaa Kwa watumishi wake.
Linganisha.
 
Dunia ya sasa ili upate fedha za kutosha kwa urahisi lazima ujue kuuza sura kwenye mitandao ya kijamii.
Ukijua kucheza na mitandao hulali njaa, huteseki na maisha.
Makampuni yatakutafuta usiku na mchana uweke sura yako na sauti yako kwenye biashara zao.
Mtumishi wa UMMA huwezi kucheza na social media kwa uhuru. Mtumishi wa UMMA unaishi kwa kificho kana kwamba haupo. Ukijenga nyumba kali nongwa, gari kali nongwa.
Kwenye utumishi wa umma kuna wasomi na wazoefu lakini teuzi hizi zikija zitawapata vijana waliomaliza chuo hawana uzoefu kwakuwa tu walijiuza kwenye mitandao ya kijamii, wewe mtumishi na Master's yako utasubiri kazi za kukaimu umeneja.
Ukianza tu kuchekesha mitandaoni kesho unaitwa Ofisni.
Ikumbukwe ili utrend lazima uwakere watu A na uwape furaha watu B, baadaye wote kundi A na kundi B unawaweka pamoja na kuunda kundi C . Sasa huku unaandaa kundi C kabla adhma haijatimia ofisini lazima ukutane na kitu kizito.
Utumishi wa umma ni kifungo.
Fursa za mtumishi ni chache, kufungua duka, kibanda cha uwakala na vitu kama hivyo ambavyo always havina issue. Njaa tupu.
Wanaocheza na media kama Mwijaku, Baba levo, Mpoki, Joti, Masanja, Diamond, Harmonize, Nannauka, na wengine wanapiga sana pesa.
Dunian kote, kazi za utumishi wa umma haziko pale kukutajirisha, unahudumia jamii. Unless uwe fisadi

Lakin bottom line ili ufanikiwe lazima uwe nje ya mfumo huo
 
Dunian kote, kazi za utumishi wa umma haziko pale kukutajirisha, unahudumia jamii. Unless uwe fisadi

Lakin bottom line ili ufanikiwe lazima uwe nje ya mfumo huo
Ujinga wa watanzania wengi wanadhani utumishi wa uma ni kutajirika ndo maana watu wanaiba sana
 
Huu uzi hauna mbele wala nyuma wala research, Mwijaku kakwambia ile nuyumba yake ni bilioni 2 na wewe unazuzuka unadhani ni kweli ? 😂😂

Nenda mitaa inayosifiwa kuwa na makazi mazuri, watumishi ndio wanaongoza kwa idadi kubwa ya nyumba maeneo hayo, Ni kwasababu nchi yetu bado ni masikini, nchi zilizoendelea mitaa mizuri wanajaa wafanyabiashara.

Siasa za Tanzania ni ccm, huko unachohitaji ni uchawa hata kama una kitochi
 
Dunia ya sasa ili upate fedha za kutosha kwa urahisi lazima ujue kuuza sura kwenye mitandao ya kijamii.
Ukijua kucheza na mitandao hulali njaa, huteseki na maisha.
Makampuni yatakutafuta usiku na mchana uweke sura yako na sauti yako kwenye biashara zao.
Mtumishi wa UMMA huwezi kucheza na social media kwa uhuru. Mtumishi wa UMMA unaishi kwa kificho kana kwamba haupo. Ukijenga nyumba kali nongwa, gari kali nongwa.
Kwenye utumishi wa umma kuna wasomi na wazoefu lakini teuzi hizi zikija zitawapata vijana waliomaliza chuo hawana uzoefu kwakuwa tu walijiuza kwenye mitandao ya kijamii, wewe mtumishi na Master's yako utasubiri kazi za kukaimu umeneja.
Ukianza tu kuchekesha mitandaoni kesho unaitwa Ofisni.
Ikumbukwe ili utrend lazima uwakere watu A na uwape furaha watu B, baadaye wote kundi A na kundi B unawaweka pamoja na kuunda kundi C . Sasa huku unaandaa kundi C kabla adhma haijatimia ofisini lazima ukutane na kitu kizito.
Utumishi wa umma ni kifungo.
Fursa za mtumishi ni chache, kufungua duka, kibanda cha uwakala na vitu kama hivyo ambavyo always havina issue. Njaa tupu.
Wanaocheza na media kama Mwijaku, Baba levo, Mpoki, Joti, Masanja, Diamond, Harmonize, Nannauka, na wengine wanapiga sana pesa.
Umeandika vyema sana ila shida ya mafanikio ni kwamba yako selective so if you're not belong to that side ukijichanganya uende hauwezi kutoboa.

Ila ni kweli kwamba ukiajiriwa unakua na ukomo wa pesa ila ukijiajiri unakua na uwezo wa kupata pesa zisizo na ukomo.

Hao vijana umewataja hapo juu unaona wanapata pesa kwenye upande huo coz they belong to that side.

Tumeumbwa kwa hatima... ukijua hatima yako utajua upande wako na ukijua upande wako utakutana na bahati yako moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom