Hii nchi inateketea, Viongozi wa dini saidieni

Hii nchi inateketea, Viongozi wa dini saidieni

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Hii nchi iko kwenye mkwamo unaohitaji nguvu ya Mungu kabla mambo hayajafika pabaya.

Bahati Mbaya viongozi wa dini hawafanyi tena makongamano ya kumtukuza Mungu.

Kwa sasa ajari ni nyingi mno, kila siku kuna majanga ya kila aina, watu kuuwawa, watu kujiua, ajari za magari, milipuko ya matanker ya mafuta ya petrol n.k.

Sambamba na hilo, maisha yamekuwa magumu huku viongozi wa serikali wakijibu kwa kehebi na dharau.

Rais yuko kimyaaa kama sio kiongozi vile.

Kimbilio la mwisho ni kwenu viongozi, ongozeni maombi tulikomboe hili taifa. Itisheni maombi kila kona ya nchi tuliponye taifa.

Kumbukeni, vitu vikiendelea kupanda bei ni ngumu sana kuja kuvishusha bei na hivyo nchi itasimama ama kufirisika. Ajari na majanga yanaleta vifo na ulemavu, nchi yenye vilema inakuwa nchi mfu.
 
CCM ipo Juu ya Serikali,kauli ya Kinana Mwenyekiti wa CCM imetekelezwa vilivyo na Serikali-sasa shida IPO wapi?
 
Yaani Mkuu una amini Maombi yatasaidia kupunguza Tozo...? Yataleta Ajira na kupunguza bei za Bidhaa...

Kweli kwenye Dini wazungu walituweza,
 
bongo maisha hayajawahi kuwa mepesi,ukishindwa kuandamana mwaka huu we nenda ukajifungie magetton ule bangi hadi uwe chizi then uanze kutembeza nyuchi kitaani kwa sisi watanzania tutakusitiri maana tuna huruma sana
 
Huwezi toa msaada kwa watu wajinga na wasio jitambua mfano watumishi wa umma(penal colony) huwa watu wajinga wa kiwango Cha sgr wakipewa nafasi kwenye shughuli mbalimbali za kiserikali mfano uchaguzi na sensa hujitoa ufaham na kujiona sehemu ya chama Cha fisiemu baadaye wanaburuzwa Kama dog na kudai haki zao tu hawawezi Sasa nani atawatetea wajinga Kama hawa.

Pia katika biblia tuna soma wazi kabisa baadhi ya watumishi wa Mungu ambao waliingilia maslahi ya watawala waliuawa mfano ni Yohane.
 
Hii nchi iko kwenye mkwamo unaohitaji nguvu ya Mungu kabla mambo hayajafika pabaya.

Bahati Mbaya viongozi wa dini hawafanyi tena makongamano ya kumtukuza Mungu.

Kwa sasa ajari ni nyingi mno, kila siku kuna majanga ya kila aina, watu kuuwawa, watu kujiua, ajari za magari, milipuko ya matanker ya mafuta ya petrol n.k.

Sambamba na hilo, maisha yamekuwa magumu huku viongozi wa serikali wakijibu kwa kehebi na dharau.

Rais yuko kimyaaa kama sio kiongozi vile.

Kimbilio la mwisho ni kwenu viongozi, ongozeni maombi tulikomboe hili taifa. Itisheni maombi kila kona ya nchi tuliponye taifa.

Kumbukeni, vitu vikiendelea kupanda bei ni ngumu sana kuja kuvishusha bei na hivyo nchi itasimama ama kufirisika. Ajari na majanga yanaleta vifo na ulemavu.. nchi yenye vilema inakuwa nchi mfu.
WAISIHARAMU WANADUMBUKIZA NCHI SHIMONI
 
Hii nchi iko kwenye mkwamo unaohitaji nguvu ya Mungu kabla mambo hayajafika pabaya.

Bahati Mbaya viongozi wa dini hawafanyi tena makongamano ya kumtukuza Mungu.

Kwa sasa ajari ni nyingi mno, kila siku kuna majanga ya kila aina, watu kuuwawa, watu kujiua, ajari za magari, milipuko ya matanker ya mafuta ya petrol n.k.

Sambamba na hilo, maisha yamekuwa magumu huku viongozi wa serikali wakijibu kwa kehebi na dharau.

Rais yuko kimyaaa kama sio kiongozi vile.

Kimbilio la mwisho ni kwenu viongozi, ongozeni maombi tulikomboe hili taifa. Itisheni maombi kila kona ya nchi tuliponye taifa.

Kumbukeni, vitu vikiendelea kupanda bei ni ngumu sana kuja kuvishusha bei na hivyo nchi itasimama ama kufirisika. Ajari na majanga yanaleta vifo na ulemavu.. nchi yenye vilema inakuwa nchi mfu.
Viongozi wa dini ni wanufaika wa tozo
 
Maombi yamesaidia sasa mambo super.
P
Mambo Magumu sana kwa ground. Sijui wewe unalenga wapi?

Maana hari si shwari.. kila mtu analia hana pesa. Namna pekee watu wanajikwamua ni kwenye kukopa. Na baadae watashindwa kurejesha na madeni yatawapa pressure.
 
Back
Top Bottom