Hii Nchi Inateswa na Mambo Mengi Sana!!

Hii Nchi Inateswa na Mambo Mengi Sana!!

Konny Joseph

Senior Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
118
Reaction score
199
Screenshot_20240417-100217_Chrome.jpg
 
Inateswa na CCM. Siku kila mtu akilitambua hili. Tutafika mbali sana.
 
Huu upuuzi ukiendelea kutamalaki, hili Taifa litageuka na kuwa la wendawazimu.
 
Mimi sishangai nadhani wameona njia pekee na kuwakomboa kutoka kwenye umaskini sio kufanya kazi bali ni kusifu na kuabudu, wanaona report ya CAG watu wamepiga hela lakini hawafukuzwi, hata mimi niko nje ya mfumo lakini ningekua kwenye mfumo ningeungana nao na kuanza kusifu.
 
Ngoja waendelee kutumika, siku wakistuka watakuta kumekucha.
 
Tanzania haizungumzwi tena.....kila mtu ni Mom...mom mom..
 
Back
Top Bottom