Konny Joseph
Senior Member
- Aug 28, 2016
- 118
- 199
Halafu Huyu Ni baba wa Watoto na ana Mke nyumbani kabisa 🤣🤣🤣
Mm nadhani tatizo ni watanzania wenyewe, wala siyo ccm. Watanzania ni maiti zinazotembea, haoni, hawasikii wala hawajitambui.Inateswa na CCM. Siku kila mtu akilitambua hili. Tutafika mbali sana.
CCM ndio inapenda wawe hivyo.Mm nadhani tatizo ni watanzania wenyewe, wala siyo ccm. Watanzania ni maiti zinazotembea, haoni, hawasikii wala hawajitambui.