Hii nchi kila kona fremu

Nasubiri UDSM nao waamue kupiga frame ile fence yao ya Sam Njoma road. Maana kuna chuo cha Uhasibu Arusha wao tayari wameshaunga mkono framenomics wanazipandisha kwa kasi kwenye barabara ya Njiro. Yaani hadi maprofesa , majenerali wa jeshi, mapolisi wote wanawaza uchumi wa frame.

Tutaingia uchumi wa kati tukiwa wachuuzi wabobevu
 
St. Augustine Mwz nao wameshapiga ma frem ya kutosha tu barabarani πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…