Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi pana lalamiko mkuu. Hii ni hojaKuna sheria yoyote ile wamevunja kw kujenga hizo fremu za biashara? Ulitaka wajenge nini?
Au ndiyo muendelezo ule ule wa Wabongo kupenda tu kulalamika, huku mkiwa hamna suluhisho la hayo malalamiko yanu!
Sawa framistAcha wivu na mawazo ya Watu. Ni ujinga kupangia watu wazima cha kufanya.Wewe fanya Hilo wazo lako Utapiga sana hela maana utakua peke yako. 😂️😂️😂️😂️😂️😂️
Labda katiba mpya inaweza ikaja na suala la framenomicsKwani katiba inasemaje? Kuhusu ilo
Huko ndiyo kuna wasomi. Ungesema wamejenga hata incubation sheds za kusaidia wanafunzi wao tungewaelewaSt. Augustine Mwz nao wameshapiga ma frem ya kutosha tu barabarani 😀
Wastaafu nao wameangukia kwenye framenomics.Na kadri frem zinavyokuwa utitiri ndivyo ugumu wa biashara unavyoongezeka,nawaurumia wale hambao ndio kwanza wanaanza!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣zisije kufaWamezifungua mageti zipumue
Kuna wakati najiuliza wanamuuzia nani na nani ananunua?View attachment 2939641View attachment 2939642View attachment 2939643View attachment 2939644
Hamna wazo lengine, mtu akiwa na nyumba inaangalia barabarani?
UnafongokaUchumi wa TZ unafongoka kwa jina la Frame
Ni shida, halafu mtu anasema uwivu\uchawi.Kuna wakati najiuliza wanamuuzia nani na nani ananunua?
Hapo kila Fremu ina Tigo Pesa, mpesa na Halopesa
😂
Kweli lakini......Nimepita Mbezi Kimara juzi Frame zimetanda Kuanzia mwanzo hadi mwisho Umbali wa Kilomita 15Huku kwetu ni vilabu vya gongo kila kona, kila eneo na uchumi wake
Hivi wanapata faida kweli au ndio hakuna namnaNi shida, halafu mtu anasema uwivu\uchawi.
Nchi ikiendelea ivi 2050 ni mafremu kila mahala
Umemuona Makonda ana Fremu? Au Mwigulu?Kama mna mawazo tofauti ya kibiashara kwanini msianzishe mnakosoa waliojaribu
Wapo wanaopata hasa sehemu za kiabiasha kama kkoo na sehemu nyingine. At least ifike mahali watu wajenge malls n.kHivi wanapata faida kweli au ndio hakuna namna