johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yaani ni vurugu mechi unaweza kukuta mtu anavaa tai ya Bendera ya Taifa au skafu ukadhani ni Mzalendo kumbe sanaa tupu!
Unamkuta Kigwa anatembea na kifimbo kama cha Nyerere kumbe usanii mtupu!
Wapinzani ndio hao walamba asali.
Sidhani kama kuna kitu kinaitwa Uaminifu kwenye Siasa.
Unamkuta Kigwa anatembea na kifimbo kama cha Nyerere kumbe usanii mtupu!
Wapinzani ndio hao walamba asali.
Sidhani kama kuna kitu kinaitwa Uaminifu kwenye Siasa.