Hii nchi kumpata Mwanasiasa Mwaminifu ni ngumu sana labda yule Sokoine au huyu Tundu Lissu

Tuonyeshe uam8n8fu wa Tundu Lissu please!!!!
 

Kwani now hakuna katiba?

Au katiba ya sasa inaruhusu kufanya hayo mambo?

Africa hata kuwe na katiba mpya 100000 bado hayo mambo utakuwa hivyo hivyo

Huyo lisu mwenyewe sio wa kumwamini,
 
Tutaongea sana ila tatizo ni katiba na mwarubaini ni katiba mpya ile ya Mzee Warioba
 
MAGUFULI VIPI?
 
Kwani now hakuna katiba?

Au katiba ya sasa inaruhusu kufanya hayo mambo?

Africa hata kuwe na katiba mpya 100000 bado hayo mambo utakuwa hivyo hivyo

Huyo lisu mwenyewe sio wa kumwamini,
Inaonekana hujaisoma katiba mpya

Lengo kuu la katiba mpya ilikuwa ni kupunguza mamlaka ya rais

Katiba iliyopo sasa rais anaweza hata kukufyatua risasi wewe na sisi watz tusimfanye kitu
 
Hakuna anaekuja kukuomba kura kwa manufaa yako watu wanaangalia manufaa yao binafsi hata huyo lisu unaemsema usidhani eti anauchungu sana na wewe, kila mtu Yuko kwaajili ya kutengeneza maisha yake, watu wanatumia sura ya kujifanya Wana huruma ili yao yaende
 
Inaonekana hujaisoma katiba mpya

Lengo kuu la katiba mpya ilikuwa ni kupunguza mamlaka ya rais

Katiba iliyopo sasa rais anaweza hata kukufyatua risasi wewe na sisi watz tusimfanye kitu

Then madaraka ya rais yakipungua ndio uhalifu unapungua?

Gharama za Maisha zinapungua?

Ww binafsi na family yako, rais akipunguziwa madaraka unapata faida gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…