Hii nchi kuna watu wana pesa halafu hawana mbwembwe

ASEE, salesman utashudia mengi sana. niliwahi kuona mtu salasala analipa mtu dolla laki tano mkononi. hiyo ni sawa 1.2B na zilikuwa ndani kwenye bag tu la kawaida
Kuna fogo hapo Dar anachota pesa kwa spade kuzipaki kwenye kiroba....

Pesa ipo, serikali inabana tu
 
To have money is a good feeling, the more you have the more you will need more money
 
Aisee wewe hadi maisha umefeli, sasa wabongo wako wangapi wanafanya such payments, utawajuaje, mm nimekutajia kiwanda pendwa cha kichina mtanzania anaweza to pesa hiyo at once.
Unaferi sana kuku ww.
Ni mtu binafsi na pia angalia kama hatumiwi na akina Samia kufanya biashara.
 
Tupo tunawacheki tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…