Hii nchi mbona tupu hivi, hao watu milioni 60 tunaoambiwa wako wapi?

Hii nchi mbona tupu hivi, hao watu milioni 60 tunaoambiwa wako wapi?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kiukweli kuna sehemu nimesafiri na nimeshangazwa sana na ukosefu wa watu, hasa huko vijijini hakuna vijana kabisa, vimebaki vizee vizee tu visivyo na mbele wala nyuma, na hata mijini, kwenye hii moji midogo, mfano Kondoa, hamna watu kabisa, au tunahujumiwa nini?

Kwani hao watu milioni 60 wapo wapi? Maana hapa Dar hata Milioni 6 hatufiki, ukipita barabara za kwenda mikoani ni mapori matupu, hakuna watu., hivi kuna maendelo gani tutapata kwa uhaba wa watu kiasi hiki?
 
Kiukweli kuna sehemu nimesafiri na nimeshangazwa sana na ukosefu wa watu, hasa huko vijijini hakuna vijana kabisa, vimebaki vizee vizee tu visivyo na mbele wala nyuma.., na hata mijini, kwenye hii moji midogo, mfano Kondoa , hamna watu kabisa.., au tunahujumiwa nini?

Kwani hao watu milioni 60 wapo wapi? Maana hapa Dar hata Milioni 6 hatufiki.., ukipita barabara za kwenda mikoani ni mapori matupu, hakuna watu., hivi kuna maendelo gani tutapata kwa uhaba wa watu kiasi hiki?!
Mkuu kua na heshima basi kwa wazee wetu. Huwezi kutumia maneno yasiyo ya staha hivyo eti vizee vizee visivyo na mbele wala nyuma. Hao unaowaita vizee ni watu ambao walikua vijana kama wewe na wamelitumikia hii nchi kwa wakati wao na sasa wameishiwa nguvu sababu ya umri, usiwadharau.

Nyie mnaojiita wadudu heshima kwa wazee hakuna, mmezaliwa gesti, mmekulia malezi mabaya, hovyo kabisa.
 
Mkuu kua na heshima basi kwa wazee wetu. Huwezi kutumia maneno yasiyo ya staha hivyo eti vizee vizee visivyo na mbele wala nyuma. Hao unaowaita vizee ni watu ambao walikua vijana kama wewe na wamelitumikia hii nchi kwa wakati wao na sasa wameishiwa nguvu sababu ya umri, usiwadharau.

Nyie mnaojiita wadudu heshima kwa wazee hakuna, mmezaliwa gesti, mmekulia malezi mabaya, hovyo kabisa.
Ukimtumtukana km la mmk, Mods wanakuona mkorofi kumbe yy ndio kaanza kudharau wazee wetu
 
IMG-20240706-WA0444.jpg
 
Mkuu Watanzania tuna tabia na hulka za kufanana ,wengi tunafanya vitu vile vile so hata lifestyle yetu ni ile ile, ukizunguka kwenye kila mji mkubwa lazima ukute idadi kubwa ya watu, so kuna miji ambayo naturally ina discourage watu kuishi huko ,hawa ndo wanaiacha miji yao na kwenda miji mingine ambayo ina maendeleo
 
Kiukweli kuna sehemu nimesafiri na nimeshangazwa sana na ukosefu wa watu, hasa huko vijijini hakuna vijana kabisa, vimebaki vizee vizee tu visivyo na mbele wala nyuma.., na hata mijini, kwenye hii moji midogo, mfano Kondoa , hamna watu kabisa.., au tunahujumiwa nini?

Kwani hao watu milioni 60 wapo wapi? Maana hapa Dar hata Milioni 6 hatufiki.., ukipita barabara za kwenda mikoani ni mapori matupu, hakuna watu., hivi kuna maendelo gani tutapata kwa uhaba wa watu kiasi hiki?!
Kwa kifupi bongo spidi ya kuzaliana bado ndogo sana.. tunabebwa tu na ukubwa wa nchi... rwanda (ambayo ni kama mkoa mmoja wa bongo) tu hapo 2016 walikuwa m11... population density hiyo bongo hatuifikii
 
Back
Top Bottom