Hii nchi mbona tupu hivi, hao watu milioni 60 tunaoambiwa wako wapi?

Hii nchi mbona tupu hivi, hao watu milioni 60 tunaoambiwa wako wapi?

Sasa kwenye lami si ndio nafuu kidogo, huko ndani ndio hamna kitu, mapori ya mkaa na mashamba ya mahindi tu.., yaani hamna watu!
Watu wako wengi sana huko ndani ndani kusiko na lami. Kafike vijiji vya Meatu, Bariadi, Bukombe, Sikonge, Chunya, Mpanda na kwingineko, ndio utajua hii nchi ni kubwa na ina watu kibao.
 
Watu wako wengi sana huko ndani ndani kusiko na lami. Kafike vijiji vya Meatu, Bariadi, Bukombe, Sikonge, Chunya, Mpanda na kwingineko, ndio utajua hii nchi ni kubwa na ina watu kibao.
Nchi ina watu kibao kwa hivyo vijiji, lakini sioni milioni 60 ikifika..
 
Back
Top Bottom