Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ni kweli watu utawaona kweny miji mikubwa tu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Important of census form two , uliruka darasa kiongozi?Nchi kubwa ni sawa, lakini mbona hakuna dalili ya kuwa na watu milioni 60?!, isije kuwa tunaingizwa mkenge.., kwanza nani huwa ana fadhili hii sensa, na kwa maslahi gani?
Please ndugu yangu waite wa staha kidogo, ni miongoni mwa binadamu wenzetu nasi ndio tunakojongea.vizee vizee
Tanzania tunageuzwa kama hifadhi ya wanyama, mapori na mavijiji yasio ma watu.., maendeleo yatatoka wapi?!Simba na tembo ndio wataijenga nchi?Ni kweli watu utawaona kweny miji mikubwa tu .
Mm nashangaa unavyoishi hapo KinondoniSasa mtu unaishije kondoa
Siku hizi P2 na arbotion zimekuwa rampant sana, tusipoangalia tutakuwa kuwa kama Red Indians au Aborigines. Isije kuwa tunapunguzwa mdogomdogo , kuja kushtuka its too late!Kuna mikoa ni wazembe sana wa kuijaza dunia.
Jaribu kutembelea na ukanda wa wasukuma .
Ni sahihi kabisa.Siku hizi P2 na arbotion zimekuwa rampant sana, tusipoangalia tutakuwa kuwa kama Red Indians au Aborigines. Isije kuwa tunapunguzwa mdogomdogo , kuja kushtuka its too late!
Kwahiyo sisi tuliozaliwa huku na tunaishi huku tuhame!?Sasa mtu unaishije kondoa
Umewaitaje wazee hapo kwenye bandiko lako?Kiukweli kuna sehemu nimesafiri na nimeshangazwa sana na ukosefu wa watu, hasa huko vijijini hakuna vijana kabisa, vimebaki vizee vizee tu visivyo na mbele wala nyuma.., na hata mijini, kwenye hii moji midogo, mfano Kondoa , hamna watu kabisa.., au tunahujumiwa nini?
Kwani hao watu milioni 60 wapo wapi? Maana hapa Dar hata Milioni 6 hatufiki.., ukipita barabara za kwenda mikoani ni mapori matupu, hakuna watu., hivi kuna maendelo gani tutapata kwa uhaba wa watu kiasi hiki?!
Na hii ndio inatia shaka sana, kwamba USA huwa wanatoa pesa kwa ajili ya kuhesabu watu, huwa wana maslahi gani?Politics is all about Lying and Drama Games.
Ndio maana hata kama una Fedha za kutosha huruhusiwi kuhesabu watu bila kibali.
Kumbuka Mikakati na Hatua muhimu kuekekea New World Order.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukute hata hao unasema vizee vizee ni vijana tu ila kwa sababu ya changamoto za maisha wana sura za kizee
Labda wamehesabia huko na mapepo?Kiukweli kuna sehemu nimesafiri na nimeshangazwa sana na ukosefu wa watu, hasa huko vijijini hakuna vijana kabisa, vimebaki vizee vizee tu visivyo na mbele wala nyuma, na hata mijini, kwenye hii moji midogo, mfano Kondoa, hamna watu kabisa, au tunahujumiwa nini?
Kwani hao watu milioni 60 wapo wapi? Maana hapa Dar hata Milioni 6 hatufiki, ukipita barabara za kwenda mikoani ni mapori matupu, hakuna watu., hivi kuna maendelo gani tutapata kwa uhaba wa watu kiasi hiki?
Its possible kuna wananchi hewa.., watu milioni 60 kushindwa kujenga flyover Kamata mwaka wa 60+ wa uhuru..?!Labda wamehesabia huko na mapepo?
Tatizo ni kuwa umepita kwenye lami tu.Kiukweli kuna sehemu nimesafiri na nimeshangazwa sana na ukosefu wa watu, hasa huko vijijini hakuna vijana kabisa, vimebaki vizee vizee tu visivyo na mbele wala nyuma, na hata mijini, kwenye hii moji midogo, mfano Kondoa, hamna watu kabisa, au tunahujumiwa nini?
Kwani hao watu milioni 60 wapo wapi? Maana hapa Dar hata Milioni 6 hatufiki, ukipita barabara za kwenda mikoani ni mapori matupu, hakuna watu., hivi kuna maendelo gani tutapata kwa uhaba wa watu kiasi hiki?
Sasa kwenye lami si ndio nafuu kidogo, huko ndani ndio hamna kitu, mapori ya mkaa na mashamba ya mahindi tu.., yaani hamna watu!Tatizo ni kuwa umepita kwenye lami tu.