Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Hizo motokaa ni kiboko.Ukiyakazia macho tu barabarani yanaona aibu na kuanza kuungua.
Kwa uchumi upi mlionaoWapi land-rover discover, ford everest, fortuner, Nissan terra, BMW, au basi😂😂
Uchumi wetu ndio umemkataa Mkoloni.Naona Hamna BMW, Mercedes Benz, Audi wala Volkswagen... Watanzania wamemkataa Mjerumani 😏
Wabongo hawawezi kuzimudu Germany machinesNaona Hamna BMW, Mercedes Benz, Audi wala Volkswagen... Watanzania wamemkataa Mjerumani
Hii unaweza kufanya hata ww mwenyewe ukiwa na muda. Angalia magari 10-20 yanayopita eneo fulan lenye mchanganyiko mkubwaData sahihi labda zitoelewe na TRA au bandari.
VerosaHizi ndio gari wauzaji wanasema ndio chaguo Lao kwasasa.
Serious? Hapana mkuu, hilo zoezi la kuhesabu magari hapana.Hii unaweza kufanya hata ww mwenyewe ukiwa na muda. Angalia magari 10-20 yanayopita eneo fulan lenye mchanganyiko mkubwa
Mimi hapa naomba ufafanuzi zaidi.Adui mkubwa ni TRA!
Ukihitaji ufafanuzi sema!
Tra ndio kipengele, kodi za kuagiza magari ni kama bei ya kununua hilo gari au mara mbili zaidi.Hakuna gari hapo hayo ni mabokisi
Hii inathibitisha kuwasisi wa Tanganyika ni chokambaya
Haya magari bei zake za kawaida sana shidà inakuja kwenye kodi hapo ndo kamzozoWapi land-rover discover, ford everest, fortuner, Nissan terra, BMW, au basi😂😂
📌📌Adui mkubwa ni TRA!
Ukihitaji ufafanuzi sema!
Prado kama hizi new model bei zake zimechangamka, kwa watz ni wachache wanaoweza kuzimuduMmhh kwahiyo crown na prado zimeshatoka kwenye kumi bora
Hapana mkuu prado zinazonunuliwa sana na wabongo zinajulikana mimi sijazungumzia new model, hata crown kuna majesta ambazo bongo ni wachache wanaozimudu, ila kwa mtu anayejua ataelewa tu kuwa nilimaanisha athlete ndio zinanunuliwa sanaPrado kama hizi new model bei zake zimechangamka, kwa watz ni wachache wanaoweza kuzimudu