OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
aaah mungu amlaze kokote kule apendapo sisi waungwana hatuna kesi nae kwa vile wameuana wao kwa wao
Haya ndio matatizo ya kuamini vitu Vya hovyo hovyo
🤣🤣🤣Eti majiii! Risasi fumuuu! Wamerudia Tena🤣🤦Mkuu kumbuka vita vya maji maji,, kiongozi kinjekitile ngwale....
Watakuwa waha haoView attachment 2377782
Mvulana wa miaka 12, auawa kwa kupigwa risasi na kaka yake nchini Nigeria, katika jaribio la 'kuzuia risasi' kwa kuvaa hirizi mpya.
Kwa mujibu wa polisi katika jimbo la Kwara, ndugu hao waliamini kuwa wamejiimarisha kwa kuvaa hirizi ya ulinzi, ndipo kaka mtu akampiga risasi mdogo wake kwa kutumia bunduki ya baba yao.
Risasi haina roho utairogaje?[emoji23]View attachment 2377782
Mvulana wa miaka 12, auawa kwa kupigwa risasi na kaka yake nchini Nigeria, katika jaribio la 'kuzuia risasi' kwa kuvaa hirizi mpya.
Kwa mujibu wa polisi katika jimbo la Kwara, ndugu hao waliamini kuwa wamejiimarisha kwa kuvaa hirizi ya ulinzi, ndipo kaka mtu akampiga risasi mdogo wake kwa kutumia bunduki ya baba yao.
Wazungu huanza na wanyama, kisha waafrikaizo testing ni heri wangezifanyia miguunibna mikononi. sasa directly kwenye mfumo.
Watakuwa waha hao