DIZZO MTAWALA
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 240
- 767
Ziko sababu lukuki za kuonesha namna awamu hii ilivyofeli
1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na wakaendelea kutuaminisha awamu zilizopita zilikusanya kidogo embu tuone kuna ukweli.
(A) Awamu iliyopita hawakuchukua vyanzo vyama halmashauri, kwa wa machinga pia hawakuchukua sekta binafsi ndio ilikuwa injini sasa awamu hiii imechukua vyanzo vyote vya halimashauri lakini inaongoza kwa kukopa tena nje ya utaratibu Leo tycoon akitaka hata ajengewe sanamu yake pale chamwino DODOMA hahitaji baraka za bunge
(B) Mahakama kuwa karibu na serikali hasa kwenye kesi zinazokiuka haki rejea kesi ya Godbless Lema kesi ya viongozi wa chadema ama kesi iliyosomwa jana ya Mike Mushi na Melo nyuma ya hizi hukumu kuna mkono shinikizi kupitia mfumo
2. Hii ndio awamu inayooongoza kwa vitendo vya kikandamizaji tena hawajali rejea mauaji ya Kibiti ama kupotea kwa watu mbalimbali yu wapi msaadizi wa Freeman Mbowe ndugu Ben Rabiu Saanane wapi alipo Simoni Kanguye wapi alipo Azori Gwanda haya yote yanaonesha jinsi awamu hii ilivyoshindwa kulinda ustawi wa jamii
3. Kushambuliwa kiongozi wa upinzani mh Tundu Athipas Lissu katikati ya vipindi vya bunge na kuvuliwa ubunge kinyume cha sheria na pia kukosa hata kumnyima stahiki yake ya matibabu
Yote kwa yote hiii ndio awamu imeshindwa kuajiri kwa miaka zaidi ya minne imeshindwa kupunguza tatizo la ajira imepelekea vijana wengi kushiriki betting kwa kikukosa ajira
Mwisho huu ni mwaka wa uchaguzi ni lazima umma tukarejeshe utu uwajibikaji wa umma na demokrasia ishamiri tena kupitia sanduku la kura hiii ndo fimbo ya mnyonge ya kutetea utu wetu
#stayhome
#tunatakatumehuru
[emoji111]️
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na wakaendelea kutuaminisha awamu zilizopita zilikusanya kidogo embu tuone kuna ukweli.
(A) Awamu iliyopita hawakuchukua vyanzo vyama halmashauri, kwa wa machinga pia hawakuchukua sekta binafsi ndio ilikuwa injini sasa awamu hiii imechukua vyanzo vyote vya halimashauri lakini inaongoza kwa kukopa tena nje ya utaratibu Leo tycoon akitaka hata ajengewe sanamu yake pale chamwino DODOMA hahitaji baraka za bunge
(B) Mahakama kuwa karibu na serikali hasa kwenye kesi zinazokiuka haki rejea kesi ya Godbless Lema kesi ya viongozi wa chadema ama kesi iliyosomwa jana ya Mike Mushi na Melo nyuma ya hizi hukumu kuna mkono shinikizi kupitia mfumo
2. Hii ndio awamu inayooongoza kwa vitendo vya kikandamizaji tena hawajali rejea mauaji ya Kibiti ama kupotea kwa watu mbalimbali yu wapi msaadizi wa Freeman Mbowe ndugu Ben Rabiu Saanane wapi alipo Simoni Kanguye wapi alipo Azori Gwanda haya yote yanaonesha jinsi awamu hii ilivyoshindwa kulinda ustawi wa jamii
3. Kushambuliwa kiongozi wa upinzani mh Tundu Athipas Lissu katikati ya vipindi vya bunge na kuvuliwa ubunge kinyume cha sheria na pia kukosa hata kumnyima stahiki yake ya matibabu
Yote kwa yote hiii ndio awamu imeshindwa kuajiri kwa miaka zaidi ya minne imeshindwa kupunguza tatizo la ajira imepelekea vijana wengi kushiriki betting kwa kikukosa ajira
Mwisho huu ni mwaka wa uchaguzi ni lazima umma tukarejeshe utu uwajibikaji wa umma na demokrasia ishamiri tena kupitia sanduku la kura hiii ndo fimbo ya mnyonge ya kutetea utu wetu
#stayhome
#tunatakatumehuru
[emoji111]️
Sent using Jamii Forums mobile app