Uchaguzi 2020 Hii ndio awamu iliyofeli kuliko awamu zote zilizopita

Uchaguzi 2020 Hii ndio awamu iliyofeli kuliko awamu zote zilizopita

Ziko sababu lukuki za kuonesha namna awamu hii ilivyofeli

1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na wakaendelea kutuaminisha awamu zilizopita zilikusanya kidogo embu tuone kuna ukweli.

(A) Awamu iliyopita hawakuchukua vyanzo vyama halmashauri, kwa wa machinga pia hawakuchukua sekta binafsi ndio ilikuwa injini sasa awamu hiii imechukua vyanzo vyote vya halimashauri lakini inaongoza kwa kukopa tena nje ya utaratibu Leo tycoon akitaka hata ajengewe sanamu yake pale chamwino DODOMA hahitaji baraka za bunge

(B) Mahakama kuwa karibu na serikali hasa kwenye kesi zinazokiuka haki rejea kesi ya Godbless Lema kesi ya viongozi wa chadema ama kesi iliyosomwa jana ya Mike Mushi na Melo nyuma ya hizi hukumu kuna mkono shinikizi kupitia mfumo

2. Hii ndio awamu inayooongoza kwa vitendo vya kikandamizaji tena hawajali rejea mauaji ya Kibiti ama kupotea kwa watu mbalimbali yu wapi msaadizi wa Freeman Mbowe ndugu Ben Rabiu Saanane wapi alipo Simoni Kanguye wapi alipo Azori Gwanda haya yote yanaonesha jinsi awamu hii ilivyoshindwa kulinda ustawi wa jamii

3. Kushambuliwa kiongozi wa upinzani mh Tundu Athipas Lissu katikati ya vipindi vya bunge na kuvuliwa ubunge kinyume cha sheria na pia kukosa hata kumnyima stahiki yake ya matibabu

Yote kwa yote hiii ndio awamu imeshindwa kuajiri kwa miaka zaidi ya minne imeshindwa kupunguza tatizo la ajira imepelekea vijana wengi kushiriki betting kwa kikukosa ajira

Mwisho huu ni mwaka wa uchaguzi ni lazima umma tukarejeshe utu uwajibikaji wa umma na demokrasia ishamiri tena kupitia sanduku la kura hiii ndo fimbo ya mnyonge ya kutetea utu wetu

#stayhome
#tunatakatumehuru
[emoji111]️


Sent using Jamii Forums mobile app

Siamini kuwa kunaweza kukatokea Rais incompetent, hopeless na useless kama Magufuli.
 
Hilo la mwisho la kuajiri; kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi ili sekta binafsi ndio iendeshe uchumi hiyo kutoa ajira na kulipa kodi stahiki. Hivyo cha kuajiri ni kuangalia ajira za zimeongezeka katika sekta binafsi badala ya kuangalia tuu ajira serikalini.

Serikali inabambikia wafanyabiashara kesi Leo watu wameondoa mitaji Yao imeshindwa kuiwezesha sekta binafsi Leo tenda utasikia jkt mara magereza hizo ajira zitakuja je kwenye sekta binafsi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo la mwisho la kuajiri; kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi ili sekta binafsi ndio iendeshe uchumi hiyo kutoa ajira na kulipa kodi stahiki. Hivyo cha kuajiri ni kuangalia ajira za zimeongezeka katika sekta binafsi badala ya kuangalia tuu ajira serikalini.
Jukumu la kuajiri kwa serikal haliepukiki jaribu kuangalia sekta kama afya na elimu zina uhaba mkubwa wa watumishi wakat vijana waliohitimu wapo mtaani bila ajira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna baadhi ya vitu baadhi yetu hatupendi tuvisikie

Jr[emoji769]
 
Hii ni awamu ambayo wapigaji wamefeli sana, wamebaki kutapatapa na kueneza chuki za Kijinga.
Chadema mlimtukana sana Mzee Wa msoga na mpaka mkampa jina Vasco Da Gamma, Na mlisema ndio Rais ovyo kabisa,ushaidi kibao humu, Leo hii mmesahau? Ukiomba upewe unachotaka kubali.
MUNGU amejibu maombi yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ziko sababu lukuki za kuonesha namna awamu hii ilivyofeli

1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na wakaendelea kutuaminisha awamu zilizopita zilikusanya kidogo embu tuone kuna ukweli.

(A) Awamu iliyopita hawakuchukua vyanzo vyama halmashauri, kwa wa machinga pia hawakuchukua sekta binafsi ndio ilikuwa injini sasa awamu hiii imechukua vyanzo vyote vya halimashauri lakini inaongoza kwa kukopa tena nje ya utaratibu Leo tycoon akitaka hata ajengewe sanamu yake pale chamwino DODOMA hahitaji baraka za bunge

(B) Mahakama kuwa karibu na serikali hasa kwenye kesi zinazokiuka haki rejea kesi ya Godbless Lema kesi ya viongozi wa chadema ama kesi iliyosomwa jana ya Mike Mushi na Melo nyuma ya hizi hukumu kuna mkono shinikizi kupitia mfumo

2. Hii ndio awamu inayooongoza kwa vitendo vya kikandamizaji tena hawajali rejea mauaji ya Kibiti ama kupotea kwa watu mbalimbali yu wapi msaadizi wa Freeman Mbowe ndugu Ben Rabiu Saanane wapi alipo Simoni Kanguye wapi alipo Azori Gwanda haya yote yanaonesha jinsi awamu hii ilivyoshindwa kulinda ustawi wa jamii

3. Kushambuliwa kiongozi wa upinzani mh Tundu Athipas Lissu katikati ya vipindi vya bunge na kuvuliwa ubunge kinyume cha sheria na pia kukosa hata kumnyima stahiki yake ya matibabu

Yote kwa yote hiii ndio awamu imeshindwa kuajiri kwa miaka zaidi ya minne imeshindwa kupunguza tatizo la ajira imepelekea vijana wengi kushiriki betting kwa kikukosa ajira

Mwisho huu ni mwaka wa uchaguzi ni lazima umma tukarejeshe utu uwajibikaji wa umma na demokrasia ishamiri tena kupitia sanduku la kura hiii ndo fimbo ya mnyonge ya kutetea utu wetu

#stayhome
#tunatakatumehuru
[emoji111]️


Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mzima akiwa na akili zake timamu anawezaje kusema ameokota kichwa cha treni kwa mfano
 
Hata hivyo sio hoja ya msingi maana alkosolewa pale alpokosea kwahiyo kama upinzani ulikuwa unatimiza majukumu yake
Serikali inabambikia wafanyabiashara kesi Leo watu wameondoa mitaji Yao imeshindwa kuiwezesha sekta binafsi Leo tenda utasikia jkt mara magereza hizo ajira zitakuja je kwenye sekta binafsi


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni awamu ambayo wapigaji wamefeli sana, wamebaki kutapatapa na kueneza chuki za Kijinga.
Chadema mlimtukana sana Mzee Wa msoga na mpaka mkampa jina Vasco Da Gamma, Na mlisema ndio Rais ovyo kabisa,ushaidi kibao humu, Leo hii mmesahau? Ukiomba upewe unachotaka kubali.
MUNGU amejibu maombi yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ziko sababu lukuki za kuonesha namna awamu hii ilivyofeli

1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na wakaendelea kutuaminisha awamu zilizopita zilikusanya kidogo embu tuone kuna ukweli.

(A) Awamu iliyopita hawakuchukua vyanzo vyama halmashauri, kwa wa machinga pia hawakuchukua sekta binafsi ndio ilikuwa injini sasa awamu hiii imechukua vyanzo vyote vya halimashauri lakini inaongoza kwa kukopa tena nje ya utaratibu Leo tycoon akitaka hata ajengewe sanamu yake pale chamwino DODOMA hahitaji baraka za bunge

(B) Mahakama kuwa karibu na serikali hasa kwenye kesi zinazokiuka haki rejea kesi ya Godbless Lema kesi ya viongozi wa chadema ama kesi iliyosomwa jana ya Mike Mushi na Melo nyuma ya hizi hukumu kuna mkono shinikizi kupitia mfumo

2. Hii ndio awamu inayooongoza kwa vitendo vya kikandamizaji tena hawajali rejea mauaji ya Kibiti ama kupotea kwa watu mbalimbali yu wapi msaadizi wa Freeman Mbowe ndugu Ben Rabiu Saanane wapi alipo Simoni Kanguye wapi alipo Azori Gwanda haya yote yanaonesha jinsi awamu hii ilivyoshindwa kulinda ustawi wa jamii

3. Kushambuliwa kiongozi wa upinzani mh Tundu Athipas Lissu katikati ya vipindi vya bunge na kuvuliwa ubunge kinyume cha sheria na pia kukosa hata kumnyima stahiki yake ya matibabu

Yote kwa yote hiii ndio awamu imeshindwa kuajiri kwa miaka zaidi ya minne imeshindwa kupunguza tatizo la ajira imepelekea vijana wengi kushiriki betting kwa kikukosa ajira

Mwisho huu ni mwaka wa uchaguzi ni lazima umma tukarejeshe utu uwajibikaji wa umma na demokrasia ishamiri tena kupitia sanduku la kura hiii ndo fimbo ya mnyonge ya kutetea utu wetu

#stayhome
#tunatakatumehuru
[emoji111]️


Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mpiga kura anayeweza kumnyima Rais Magufuli na wagombea wengine wa CCM kura kutokana na taarifa uliyoleta. Watashinda kwa kishindo 2020!
Watanzania wanawajua wasaliti wa nchi vizuri sana, usione hawaandiki! Mfano mzuri ni kwamba wananchi wapiga kura wanajua Lissu ni msaliti.
Pia wanajua Magufuli ni mzalendo wa kweli na aendelee kuongoza sisi.
 
Yaani watu wa ufipa wategemee kupata laana kubwa kutoka kwa Muumba wa mbingu na nchi. Kwa nini?
Tangia tupate uhuru hakuna Raisi aliyewai kutukanwa mitusi mizito tena kama si amilijeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama wa taifa zima kama Mzee wa Msoga Ndugu yetu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. ( najua wamesahau)

Jamani walimshambulia huyu mzee wakamsurubisha hata juu ya msalaba, lakini yeye akawa kimya kama Yesu mzee wa watu.
Wakaanza kusema nchi hii inahitaji Rais na kuanza kutoa sifa ya raisi ajae.
Ukiangalia kila sifa waliyoitaja ilikuwa inamlenga Dr. John Pombe Magufuli.
Huyu aliyepo ni mbovu zaidi kuliko mzee msoga,yaani ni sawa na kuruka mkojo ukakanyaga mavi
 
Hakuna mpiga kura anayeweza kumnyima Rais Magufuli na wagombea wengine wa CCM kura kutokana na taarifa uliyoleta. Watashinda kwa kishindo 2020!
Watanzania wanawajua wasaliti wa nchi vizuri sana, usione hawaandiki! Mfano mzuri ni kwamba wananchi wapiga kura wanajua Lissu ni msaliti.
Pia wanajua Magufuli ni mzalendo wa kweli na aendelee kuongoza sisi.
Na ndo maana tunawapa elimu mbovu ya bure ili wasiweze kufanya informed decision lakini pia tumejitahidi kuajiri akina bashite wengi police ili ukimwambia ua aue akigoma unatishia kumfukuza kazi na kwa kuwa ni rumpeni basi anatii na kuamua kuua
 
Tumekuskia mkubwa ila mwezi wa 10 usifanye kosa tena kuanzia diwani hadi raisi.

Kila awamu ss tunalaumu dah nimeamini ukiwa baba huwez kupendwa na watoto wote ndani.
 
Miaka mitano ni kidogo mno kumhukumu Raisi Magufuli
Sisi tulimwona Mwl.Nyerere,Mwinyi,Mkapa Kikwete hadi Magu.
Lakini Mwl.Nyerere Aliumiza watu wengi sana na sera ya vijiji vya ujamaa bila maandalizi iliyopelekea kushuka sana kwa mazao ya chakula kwa kipindi kirefu.
Watu waliburuzwa kutoka makazi yao wakarundikwa kama viazi bila nyumba wala chakula porini,wengine wakaliwa wanyama wakati.Nilitegemea kwa watawala waliopita kutuomba msamaha kwa hiyo sera mfu ya vijiji vya ujamaa.
Japo tulikuwa na ardhi yenye rutuba na ya kutosha lakini tuliishi kwa chakula cha msaada "Yanga" kwa kipindi kirefu hadi alipokuja Raisi Mwinyi na sera yake maarufu RUKSA.
Ukifanya tafiti ya hasara aliotuletea Nyerere kwa sera zake za kukurupuka wala Magufuli hawezi kamwe kumfikia.
Wengi wenu mlikuwa hamjazaliwa na uhuru wa kupata habari haukuwepo kama sasa.
Hata vita ya Kagera ilizaliwa kwa sababu ya urafiki wa watu wawili.Nyerere na Obote.Laiti Raisi Nyerere angesikiliza mawazo ya Majenerali wake na kuwa neutral kama Kenya,tungeepuka vita vya kibanda hasara,shilling yetu ingekuwa na nguvu sawa sawa kama ya Kenya.
 
Back
Top Bottom