Uchaguzi 2020 Hii ndio awamu iliyofeli kuliko awamu zote zilizopita

Uchaguzi 2020 Hii ndio awamu iliyofeli kuliko awamu zote zilizopita

Ziko sababu lukuki za kuonesha namna awamu hii ilivyofeli

1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na wakaendelea kutuaminisha awamu zilizopita zilikusanya kidogo embu tuone kuna ukweli.

(A) Awamu iliyopita hawakuchukua vyanzo vyama halmashauri, kwa wa machinga pia hawakuchukua sekta binafsi ndio ilikuwa injini sasa awamu hiii imechukua vyanzo vyote vya halimashauri lakini inaongoza kwa kukopa tena nje ya utaratibu Leo tycoon akitaka hata ajengewe sanamu yake pale chamwino DODOMA hahitaji baraka za bunge

(B) Mahakama kuwa karibu na serikali hasa kwenye kesi zinazokiuka haki rejea kesi ya Godbless Lema kesi ya viongozi wa chadema ama kesi iliyosomwa jana ya Mike Mushi na Melo nyuma ya hizi hukumu kuna mkono shinikizi kupitia mfumo

2. Hii ndio awamu inayooongoza kwa vitendo vya kikandamizaji tena hawajali rejea mauaji ya Kibiti ama kupotea kwa watu mbalimbali yu wapi msaadizi wa Freeman Mbowe ndugu Ben Rabiu Saanane wapi alipo Simoni Kanguye wapi alipo Azori Gwanda haya yote yanaonesha jinsi awamu hii ilivyoshindwa kulinda ustawi wa jamii

3. Kushambuliwa kiongozi wa upinzani mh Tundu Athipas Lissu katikati ya vipindi vya bunge na kuvuliwa ubunge kinyume cha sheria na pia kukosa hata kumnyima stahiki yake ya matibabu

Yote kwa yote hiii ndio awamu imeshindwa kuajiri kwa miaka zaidi ya minne imeshindwa kupunguza tatizo la ajira imepelekea vijana wengi kushiriki betting kwa kikukosa ajira

Mwisho huu ni mwaka wa uchaguzi ni lazima umma tukarejeshe utu uwajibikaji wa umma na demokrasia ishamiri tena kupitia sanduku la kura hiii ndo fimbo ya mnyonge ya kutetea utu wetu

#stayhome
#tunatakatumehuru
[emoji111]️


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii awamu kuna ufisadi wa kutisha ambao ukiwekwa wazi hadi virus vya corona vinayeyuka bila sanitizer
 
Hakuna mpiga kura anayeweza kumnyima Rais Magufuli na wagombea wengine wa CCM kura kutokana na taarifa uliyoleta. Watashinda kwa kishindo 2020!
Watanzania wanawajua wasaliti wa nchi vizuri sana, usione hawaandiki! Mfano mzuri ni kwamba wananchi wapiga kura wanajua Lissu ni msaliti.
Pia wanajua Magufuli ni mzalendo wa kweli na aendelee kuongoza sisi.
Wewe ni nyani mwenye umbo la Binadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii awamu kuna ufisadi wa kutisha ambao ukiwekwa wazi hadi virus vya corona vinayeyuka bila sanitizer
Ndo maana Bulembo anasema dawa ya corona ni Magufuli kupita bila kupingwa ili ufisadi uendelee kutamalaki huku wanyonge wakizidi kunyongwa
 
Na ndo maana tunawapa elimu mbovu ya bure ili wasiweze kufanya informed decision lakini pia tumejitahidi kuajiri akina bashite wengi police ili ukimwambia ua aue akigoma unatishia kumfukuza kazi na kwa kuwa ni rumpeni basi anatii na kuamua kuua
Tunajua mlishazoea CCM ifanye makosa ili mpate kick. Sasa wapo makini na kibaya zaidi umakini utaongezeka mara mbili ya miaka mitano hii ya kwanza ya JPM
Soma bajeti ya Tamisemi 2020-2021 alafu utaona mambo yatavyofanyika.
Poleni sana yale mastori ya Epa,Escrow Kagoda n.k, hamtayasikia tena.
Mbaya zaidi wale jamaa zenu wà ujerumani nasikia wamewakatia laini.
Wameona hamna haja ya kuwapa hela za bure wakati CCM chini ya JPM inapiga kazi.
 
Ndo maana Bulembo anasema dawa ya corona ni Magufuli kupita bila kupingwa ili ufisadi uendelee kutamalaki huku wanyonge wakizidi kunyongwa
Bulembo ni mbunge wa viti maalum ndio maana anaweza kuongea chochote ili kumfurahisha aliyemteua
 
Tunajua mlishazoea CCM ifanye makosa ili mpate kick. Sasa wapo makini na kibaya zaidi umakini utaongezeka mara mbili ya miaka mitano hii ya kwanza ya JPM
Soma bajeti ya Tamisemi 2020-2021 alafu utaona mambo yatavyofanyika.
Poleni sana yale mastori ya Epa,Escrow Kagoda n.k, hamtayasikia tena.
Mbaya zaidi wale jamaa zenu wà ujerumani nasikia wamewakatia laini.
Wameona hamna haja ya kuwapa hela za bure wakati CCM chini ya JPM inapiga kazi.
Report ya CAG inasema TRA kwa mwaka wamekusanya 15 trioni ,budget yetu ilikuwa 33 trioni,wewe kwa elimu yako ya shule ya kata unaelewa nini hapo?
 
Report ya CAG inasema TRA kwa mwaka wamekusanya 15 trioni ,budget yetu ilikuwa 33 trioni,wewe kwa elimu yako ya shule ya kata unaelewa nini hapo?
Wewe uliesoma shule za kishua nipe elimu mimi nitaelewa nini? Ila ukweli unabaki kuwa JPM amepiga kazi na amewakaba mpaka hampumui.
 
Wewe uliesoma shule za kishua nipe elimu mimi nitaelewa nini? Ila ukweli unabaki kuwa JPM amepiga kazi na amewakaba mpaka hampumui.
Wizara inapelekewa 20 % ya budget, idara inapelekewa 0% ya budget harafu wewe unakuja hapa kwamba Magufuli anapiga kazi, kazi gani hiyo? Barabara ya njia sita toka ubungo hadi Chalinze,kawaambia world Bank wanamchelewesha hivyo yeye anaanza watamkuta mbele,tusaidie tangu ameanza miaka miwili iliyopita amefika wapi? Kapime corona utakuwa unaumwa
 
Wizara inapelekewa 20 % ya budget, idara inapelekewa 0% ya budget harafu wewe unakuja hapa kwamba Magufuli anapiga kazi, kazi gani hiyo? Barabara ya njia sita toka ubungo hadi Chalinze,kawaambia world Bank wanamchelewesha hivyo yeye anaanza watamkuta mbele,tusaidie tangu ameanza miaka miwili iliyopita amefika wapi? Kapime corona utakuwa unaumwa
Gongo la mavi hilo!
 
Bulembo ni mbunge wa viti maalum ndio maana anaweza kuongea chochote ili kumfurahisha aliyemteua
Kuwa mbunge wa kuteuliwa sio sababu ya kumbeza mtu. Suala la msingi ametoa hoja ya namna gani?na ina mantiki gani?
We huoni Chadema na wapinzani wote wanatakiwa wasipoteze pesa zao kuweka mgombea wa urais? Maana hata ubunge na udiwani itakuwa tabu sana kutoboa.
 
Ziko sababu lukuki za kuonesha namna awamu hii ilivyofeli

1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na wakaendelea kutuaminisha awamu zilizopita zilikusanya kidogo embu tuone kuna ukweli.

(A) Awamu iliyopita hawakuchukua vyanzo vyama halmashauri, kwa wa machinga pia hawakuchukua sekta binafsi ndio ilikuwa injini sasa awamu hiii imechukua vyanzo vyote vya halimashauri lakini inaongoza kwa kukopa tena nje ya utaratibu Leo tycoon akitaka hata ajengewe sanamu yake pale chamwino DODOMA hahitaji baraka za bunge

(B) Mahakama kuwa karibu na serikali hasa kwenye kesi zinazokiuka haki rejea kesi ya Godbless Lema kesi ya viongozi wa chadema ama kesi iliyosomwa jana ya Mike Mushi na Melo nyuma ya hizi hukumu kuna mkono shinikizi kupitia mfumo

2. Hii ndio awamu inayooongoza kwa vitendo vya kikandamizaji tena hawajali rejea mauaji ya Kibiti ama kupotea kwa watu mbalimbali yu wapi msaadizi wa Freeman Mbowe ndugu Ben Rabiu Saanane wapi alipo Simoni Kanguye wapi alipo Azori Gwanda haya yote yanaonesha jinsi awamu hii ilivyoshindwa kulinda ustawi wa jamii

3. Kushambuliwa kiongozi wa upinzani mh Tundu Athipas Lissu katikati ya vipindi vya bunge na kuvuliwa ubunge kinyume cha sheria na pia kukosa hata kumnyima stahiki yake ya matibabu

Yote kwa yote hiii ndio awamu imeshindwa kuajiri kwa miaka zaidi ya minne imeshindwa kupunguza tatizo la ajira imepelekea vijana wengi kushiriki betting kwa kikukosa ajira

Mwisho huu ni mwaka wa uchaguzi ni lazima umma tukarejeshe utu uwajibikaji wa umma na demokrasia ishamiri tena kupitia sanduku la kura hiii ndo fimbo ya mnyonge ya kutetea utu wetu

#stayhome
#tunatakatumehuru
[emoji111]️


Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku bora jana kwa watanzania.
 
Back
Top Bottom