Konny Joseph
Senior Member
- Aug 28, 2016
- 118
- 199
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usalama wa viongozi ni jambo la muhimu ndugu
Aina ya vyombo vya usafiri makazi na majengo ya utawala yanapaswa kua ya viwango sahihi kwa usalama wa viongozi wa taifaUsalama haupatikani kwenye magari be smart
Sawa sawa hakika mama anaupiga mwingi!usalama wa viongozi ni jambo la muhimu ndugu
Point kubwa sana hiiaina ya vyombo vya usafiri makazi na majengo ya utawala yanapaswa kua ya viwango sahihi kwa usalama wa viongozi wa taifa
Kwa hiyo usalama ni kwa viongozi wa serikali tu hawa watanzania wengine vp.aina ya vyombo vya usafiri makazi na majengo ya utawala yanapaswa kua ya viwango sahihi kwa usalama wa viongozi wa taifa
Asnte na wewe kwa kuisoma,naamini ujumbe umefika!!
Kuendesha nini labda??Ni lini serikali ilikosa fedha za uendeshaji?
AiseKuendesha nini labda??
Hivi nyie watu wengine mpo Tanzania kweli??
Hapo mpk msemee ,daraja hapo litajengwa la mbao Kwa maneno mengi ya ahadi kipindi Cha uchaguzi.uchaguzi ukipitaaa msoto ndio huo huo 😅😅😅😅
Yaani uishi huko na maisha yako bila usalam ila ukishakuwa kiongozi ndo usalama wako uanze kuangaliwa?aina ya vyombo vya usafiri makazi na majengo ya utawala yanapaswa kua ya viwango sahihi kwa usalama wa viongozi wa taifa
Mkuu, ni kuendesha serikali.... asalimia zaidi ya 50 ya bajeti huwa ni 'matumizi' mengine.Kuendesha nini labda??
Hivi nyie watu wengine mpo Tanzania kweli??
Kwamba hadhi ya kiongozi na mpiga kura ziwe sawa?Yaani uishi huko na maisha yako bila usalam ila ukishakuwa kiongozi ndo usalama wako uanze kuangaliwa?
Ndiyo maana watu wakipata uongozi wanakuwa walafi, mafisadi na ubinafsi.
Ni lazima tuje tuondoshe hizi tofauti kubwa ili watu waone kuwa kiongozi ni wito wa kuwasaidia wengine kutatua changamoto za kijamii na kujenga fursa sawa za kiuchumi.
Balance exercises
Halafu anaendeshwa mtu aliyefeli form four huku Vijana wamemaliza chuo hawana kazi.