Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Hizi gari inaonekana huwa hazidumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuendesha gari inahitaji taaluma ya udereva na sio degree ya nyukiHalafu anandeshwa mtu aliyefeli form four huku Vijana wamemaliza chuo hawana kazi.
Umenikumbusha enzi za shule ya msingi, kutoka tangeni kwenda mnyanza, kupitia mbalala. Nimejiuliza hivi tulikuwa tunawezaje kupita kwenye maeneo hatarishi kiasi hiki? Tanzania eee, nchi yangu ooo!
Sijaaongelea dereva naongelea anaendeshwaKuendesha gari inahitaji taaluma ya udereva na sio degree ya nyuki
ni muhimu kua na vitendea kazi imara na madhubuti vya kutosha vitakavyosaidia kufanya ukaguzi na usimamizi wa miradi mbalimbali maeneo tofauti tofauti nchini 🐒
aina ya vyombo vya usafiri makazi na majengo ya utawala yanapaswa kua ya viwango sahihi kwa usalama wa viongozi wa taifa