Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

.
Yaani zote ni D & F?! ... hamna hata C moja?
.
 

kama ni picha ndo inaanza steling anakufa kwenye maua......
 
Wanasema ukimya huficha ujinga, Nape hakulijua hili
 
Nape atajitetea kwamba yeye ni mtoto wa nje..hakupewa support na marehemu baba yake ndio maana hakufanya Vizuri.jamani hata credit moja!!

KUMBE NAPE NI FISADI WA ELIMU.....Ina maana alifanya mtihani wa form 6 pasipo kuwa na credit 3??
 
NAPE NNAUYE
DIV IV-29
KISW D, HIST D, GEOG D, ENG F,
B/MATH F, BIOL D, CHEM D, PHY D, CIV F

MY TAKE: MNYIKA NI GENIUS System Let him Down
NAPE AJIENDELEZE System Favors him kwasababu ya CCM is a CULT
Halafu kasoma EGM ​A-level kama si uchakachuaji ni nini?
 
Ukiangalia video hii

Na ukisikiliza clip hii
unaona kabisa hiyo F ya Civics.
 
Last edited by a moderator:

mbona kumbukumbu inasemekana maua physics walikuwa hawasomi badala yake wanafanya bible knowledge kwa hiyo na wasiwasi na haya matokeo ya Mnyika..
 
Nape anafanya siasa akiwa na F Civics!!!!!

Ndugu yangu, mimi hata siamini nachoona. Yaani tuna daktari mwenye F ya Biology na Chemistry.

Lakini sasa naunga DOTS. Ndio maana Nape anaongoza kwa PUMBA.

Mimi mpaka leo nilikuwa najiuliza Nape aliugua ugonjwa gani kichwani mpk akasahau kuwa yeye si Waziri wa Afya au Mkuu wa Mkoa wa Singida kiasi amuamuru Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Singida aanze kutumia majengo yaliyo tayari na asisubiri mradi mzima ukamilika, agizo ambalo liko nje ya majukumu yake.

Sasa nimeelewa, ni F ya Civics ndio inafanya kazi yake. Nape hajui tofauti ya CHAMA na SERIKALI
 
Kwa hiyo CCM ni majinga zaidi ndo maana mengine yanaibiwa wazi wazi na mafisadi lkn bado yanaking'ang'ania?
 
mbona kumbukumbu inasemekana maua physics walikuwa hawasomi badala yake wanafanya bible knowledge kwa hiyo na wasiwasi na haya matokeo ya Mnyika..

Mambo ya saluni za kike hayo, hapa ni JF. Kama wewe ni wa kiume jiangalie sana
 
Utata mtupu elimu ya nape,anadai kasoma advance sijui kwa CREDIT ZIPI WAKATI ANA CREDIT MOJA,ANADAI ALIXOMA EGM SIJUI EGM IPI WAKATH MATHS ANA MSWAKI,
 
Duh!inatisha!ndugu yangu Nape kilichokuweka hapo ni uwezo au system
 

Mbona kuna post moja nimeisoma humu jamvini inasema nape alisoma A level na shule kaitaja sema alisema alipitia diploma na baada ya hapo digree kumbe hola tu, tena anajifa kubishania elimu ya Mnyika ambae haingii kwake hata kwa theluthi moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…