Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hapo mkuu unalinganisha Profesa Lipumba v/s Profesa Maji Marefu.
 
Civics amepata Mswaki(F-)...huu ni mswaki wa bure wa whitedent! Ndio maana anafanya siasa za maji taka! Anatumika kama Vuvuzela! CV yake kama wasifu wa marehemu! Kumbe nape ni fisadi wa elimu! Alifanyaje mtihani wa form 6 wakati hana credit 3......Elimu ya mjinga ni majungu!! Please nape back to school.
 
Nahumu a.k.a Nappe ulianzisha ugomvi wa mawe wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo.!?
 
Tuwekee na matokeo yao ya chuo kikuu tufananishe...

Kwa akili za kijinga za watu wa dizain yako unafikiri unaweza kuuhamishia mjadala uwe Mnyika hajamaliza chuo kikuu, kwa taarifa yako yeye mwenyewe keshalisema hilo na sababu tumeshazijua. Hapa tunalinganisha hatua ambayo wote wamefikia.

Kama mtu ana F ya Maths na F ya Civics unataka ligi ya nini? Huyo Nape wako hata kama alifika chuo gani atakuwa ana karatasi tu linaitwa degree, lkn ni zao la kukaa darasani na sio kuelewa.
 
Halafu watupe na ufafanuzi wa uongo wanaoeneza kuhusu elimu ya Nape ya A-level maana wapambe wa Nape watakuja hadi na elimu ya Nape ya A-Level wakati kiuhalisia Nape Nnauye Patel hajawahi kukanyaga darasa la A-Level kwenye hii dunia...
Kwa pumba ambazo Nape huwa anamwaga sijui maCCM aliyadanganya nini hadi kumpatia ukatibu mwenezi na F yake ya Civics??
masterz kaipata wapi?
 
Jamani mbona umeniwahi kupost hii issue? nilichelewea kucheka. Sasa nimeamini Chadema hamna huruma, mnawezaje kumbebesha sungura dume la tembo? Yaani CCM walipomteua Nape kwenye uenezi mliona ni sawa kumteua Mnyika kwa nafasi hiyo hiyo CDM? Hizo A za O level ni zaidi ya degree ya Nape sasa.
 
wale masalia wanaomteteaga Nappe wako wapi.?
 
Nape hakuwa na sifa hata ya kwenda chuo cha ualimu ila kwa ufisadi wake kafanya mtihani wa form six. Kweli Tz shamba la bibi
 
Kilichonifurahisha zaidi bible knowledge pia mnyika ana A kwahiyo hata hofu ya mungu anayo!
 
Mbona kuna post moja nimeisoma humu jamvini inasema nape alisoma A level na shule kaitaja sema alisema alipitia diploma na baada ya hapo digree kumbe hola tu, tena anajifa kubishania elimu ya Mnyika ambae haingii kwake hata kwa theluthi moja
Huyu jamaa kilichomtoa ni kwa vile ni MTOTO WA NJE wa mzee Musa Nnauye lakini angekuwa anatakiwa ku HUSTLE kama tulivyo hustle sisi ndio atoke, saizi angekuwa anauza machungwa barabarani maana hakuwa na akili ya kumtoa kielimu.
 
Nape hakuwa na sifa hata ya kwenda chuo cha ualimu ila kwa ufisadi wake kafanya mtihani wa form six. Kweli Tz shamba la bibi
Hii itabidi watuwekee matokeo kwanza tujiridhishe,,, huyu jamaa hajawahi kutinga darasa lolote la A-level sasa huo mtihani kaufanyia wapi. Ngoja jumatatu nitie mguu pale Butimba kukusanya data...
 
Kwa akili za kijinga za watu wa dizain yako unafikiri unaweza kuuhamishia mjadala uwe Mnyika hajamaliza chuo kikuu, kwa taarifa yako yeye mwenyewe keshalisema hilo na sababu tumeshazijua. Hapa tunalinganisha hatua ambayo wote wamefikia.

Kama mtu ana F ya Maths na F ya Civics unataka ligi ya nini? Huyo Nape wako hata kama alifika chuo gani atakuwa ana karatasi tu linaitwa degree, lkn ni zao la kukaa darasani na sio kuelewa.

Huoni kwamba si sahihi kuwafananisha watu wenye umri zaidi ya miaka 30 kwa matokeo ya form four? Tangu form four mpaka sasa wanatakiwa kuwa wamepitia mabadiliko mengi sana.

Basi angalau lete matokeo yao ya form six tuwafananishe.
 
Tuwekee na matokeo yao ya chuo kikuu tufananishe...

Mkuu ile post ya Mnyika uliipitia? Nadhani aliweka wazi kutomaliza chuo kwa sababu za hapa na
Pale sasa sielewi matokeo gani tena ya chuo kikuu.... Na huyu Nape did he step to university by any chance?? Sijasikia as nimeona ni diploma mbili tatu..... Hivi Watanzania tumelogwa au? Tunaacha kujadili mambo ya maana ya maemdeleo eti tunajikita na mara elimu ya Nape, Mnyika, mama baba wa Nape, baba wa Slaa..... Mkuu hebu saidia mie kichwa kinauma kwa hili.... Matokeo ya form four tatizo, hospitali zetu tatizo,
 
Huoni kwamba si sahihi kuwafananisha watu wenye umri zaidi ya miaka 30 kwa matokeo ya form four? Tangu form four mpaka sasa wanatakiwa kuwa wamepitia mabadiliko mengi sana.

Basi angalau lete matokeo yao ya form six tuwafananishe.

mmoja hajasoma form six tutamfanisha na nini sasa hapa form kwanza
 
Sasa kama wana wasomi wengi mbona wameacha vizazi mbu mbu mbu?
 
Back
Top Bottom