Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee na matokeo yao ya chuo kikuu tufananishe...
masterz kaipata wapi?Halafu watupe na ufafanuzi wa uongo wanaoeneza kuhusu elimu ya Nape ya A-level maana wapambe wa Nape watakuja hadi na elimu ya Nape ya A-Level wakati kiuhalisia Nape Nnauye Patel hajawahi kukanyaga darasa la A-Level kwenye hii dunia...
Kwa pumba ambazo Nape huwa anamwaga sijui maCCM aliyadanganya nini hadi kumpatia ukatibu mwenezi na F yake ya Civics??
masterz kaipata wapi?
Huyu jamaa kilichomtoa ni kwa vile ni MTOTO WA NJE wa mzee Musa Nnauye lakini angekuwa anatakiwa ku HUSTLE kama tulivyo hustle sisi ndio atoke, saizi angekuwa anauza machungwa barabarani maana hakuwa na akili ya kumtoa kielimu.Mbona kuna post moja nimeisoma humu jamvini inasema nape alisoma A level na shule kaitaja sema alisema alipitia diploma na baada ya hapo digree kumbe hola tu, tena anajifa kubishania elimu ya Mnyika ambae haingii kwake hata kwa theluthi moja
Butimba Alevel?
Hii itabidi watuwekee matokeo kwanza tujiridhishe,,, huyu jamaa hajawahi kutinga darasa lolote la A-level sasa huo mtihani kaufanyia wapi. Ngoja jumatatu nitie mguu pale Butimba kukusanya data...Nape hakuwa na sifa hata ya kwenda chuo cha ualimu ila kwa ufisadi wake kafanya mtihani wa form six. Kweli Tz shamba la bibi
Kwa akili za kijinga za watu wa dizain yako unafikiri unaweza kuuhamishia mjadala uwe Mnyika hajamaliza chuo kikuu, kwa taarifa yako yeye mwenyewe keshalisema hilo na sababu tumeshazijua. Hapa tunalinganisha hatua ambayo wote wamefikia.
Kama mtu ana F ya Maths na F ya Civics unataka ligi ya nini? Huyo Nape wako hata kama alifika chuo gani atakuwa ana karatasi tu linaitwa degree, lkn ni zao la kukaa darasani na sio kuelewa.
Tuwekee na matokeo yao ya chuo kikuu tufananishe...
Huoni kwamba si sahihi kuwafananisha watu wenye umri zaidi ya miaka 30 kwa matokeo ya form four? Tangu form four mpaka sasa wanatakiwa kuwa wamepitia mabadiliko mengi sana.
Basi angalau lete matokeo yao ya form six tuwafananishe.