Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye


Acha umbea wako,Tandale one ndiye nape mwenyewe, Full stop
 

Ha ha ha hebu tueleze vizuri huko Butimba TTC alikuwa kama mwalimu au PC yaan Private Candidate? Mtahangaika sana mkuu, Nape hajwahi soma Butimba kwani sisi ndiyo wenyeji wa Butimba na mimi personally nimekuwa nikisoma naye Nsumba Sekondari. Njoo na CD nyingine>
 
Dah kumbe upo vizuri kaka, ila sasa kule kuropoka ropoka kunatoka wapi? Wakati unaelimu nzuri tu.
 

Kwa CV hii alitakiwa awe Katibu mwenezi wa Kata.
 
huyu hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji maana anaweza leta maafa kwa uropokaji wake.
 
Du, mbona CV imekaa kama historia ya kwenye mazishi. Ni mtazamo tu.
 
  • Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.

Toka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia Diploma ya mwaka mmoja Tanzania.....Du umechafuka!!!!!!!!
 
Jamaa ni Msanii kwelikweli. Butimba TTC Sec. School hajawahi kuwa na A Level......
mimi ni Mwalimu hapa.. Kama ndo siasa yenyewe hii. basi kwaherini..
 
"Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC'
Kaandae upya hii cv ya kuforge, 1998-2000 High School + kuhitimu Butimba TTC ambako ni chuo cha ualimu!!!!!!!!!!!
 
Diploma gani ya ualimu alisoma at the same time advanced level?
Cv gani hii chafu,hadi kichefuchefu.
 
Duh. Jamaa kwa miaka 2 kapata diploma 2 tofauti. Walah elimu ya bongo ingekua hivi watz wote wangekuwa wasomi
 
vipi cv za hawa hapa chini???
1.mbowe
2.msigwa
3.sugu
4.vicent nyerere
5.msabaha yule dada wa viti maalum kutoka znz
6.chiku abwao

nawasilisha
 
Jamaa ni Msanii kwelikweli. Butimba TTC Sec. School hajawahi kuwa na A Level......
mimi ni Mwalimu hapa.. Kama ndo siasa yenyewe hii. basi kwaherini..
vyuo vya ualimu vyote hapa nchini ni vituo vya mtihani kwa watahiniwa wa kujitegemea. kawadanganye wanao nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…