Ngofilo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 221
- 66
Nape ni msemaji wa CCM na Nape naye anamsemaji wake ndio huyo aliyeweka hiyo CV hapo so msishangae kwanini Nape hajaandika mwenyewe ilihali ni member humu, ni mgawanyo wa majukumu na wengine mkono uende kwa kinywa, ila hapo BUTIMBA TTC nadhani kijana unaweza ukawa _ fired nenda kajipange uje ufafanue vizuri.
Acha umbea wako,Tandale one ndiye nape mwenyewe, Full stop