Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
2pe matokeo yake ya olev na a level ili cv ikamilike
Nape???????? alifanyaje mtihani wa form six wakati sifa ya kufanya mtihani wa form six ni credit tatu za o level na hapo sioni hata credit moja
Nimefundishwa kuandika cv na mwalimu wangu wa Communication Skills miaka hiyo lakini kwa uelewa wangu hiyo sio cv haijakidhi viwango vya kuitwa cv labda tu google maana ya cv
Master of Business Administration na sababu zinazochangia ushiriki wa wapiga kura zina uhusiano gani? Angefanya "Reasons lead to poor performance of public corporations" hii kidogo ingelandana na hiyo master yake @Nnauye Jr
mkuu naona hujaona vizuri. Hajasomea Master OF BUSINESS ADMINISTRATION bali kasomea Masters in PUBLIC ADMINISTRATION
te te te kwi kwi kwiKaka unashangaa nini sasa kama watu wanafaulu kwenda secondary hawajui kusoma na kuandika why kwa Nape Nnauye ushangae? Hata hawa waliopata Four na Zero wakipewa chance nao watafanya wonders kama Nape Nnauye na watakuja kuwa watawala wetu.
hujatupa ufaulu wake wa form 4 na 6 alikuwa na division ngapi? Kama mwenzake Mnyika alivyosema?
- Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
- Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
mjinga kama wewe..,mtu aliyepata F ya math anasomaje EGM..?
Anaomba kazi? Hii CV ya nini? Hizi diploma za mwaka mmoja mmoja Duhhhh.
Wewe ndiye mleta mada usikimbie hoja kwa kuanzisha matusi. Ok, mimi ni mjinga sasa wewe mwelevu tuwekee credits za Nape za O'Level zilizomfanya asome EGM.mjinga kama wewe..,mtu aliyepata F ya math anasomaje EGM..?
Mmmemshika pabaya hapa ndio naonaga tatizo la kuropoka au kukurupuka.Heh, mtu una F ya Civics afu unafanya siasa??
Aisee, ngoja nikatafute pepa ya Civics ya mwaka huo nione maswali yalikuwaje.
Kama kuna mtu ana access ya pepa ya civics ya mwaka huo aniwekee tafadhali
Ila mnyika ni kichwa jamani