Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

hapo ndio watu wanapodondokewa na kitu chenye ncha kali.. tunaomba na wengine mnapokuja na siasa za elimu zenu msisahau kuonyesha kipengele hicho yaani KIWANGO CHA JUU CHA ELIMU YAKO, HATA KAMA STD SEVEN NDIO MAJAALIWA YAKO

Hata hvyo Mzumbe hawana course ya Masters ya Miezi 12.
 
cku zote, njia ya mwongo ni fupi. eti alimaliza EGM butimba. Butimba hakuna shule ya advance wewe, na shule iliyopo imejengwa 15 haijatimiza. nimezaliwa Butimba chuoni! then magogoni hakuna chuo cha sayansi ya jamii. Vile vile hakuna masters ya mwaka 1 mzumbe. njia ya mwongo fupi. Hebu wekeni na kopy za vyeti, mctudanganye cc ambao tumepitia huko. mayb India kasoma maana kwawenzetu digrii ni pesa tu, haijalishi ufaulu wako.
 
Kajaga88 uko sahihi. Mwaka anaosema nape alikuwa butimba nilikuwa pale na hakukuwa na hicho kitu A level. Hata resiters hawakuwa registered na kituo. A level walikuwa wanatokana na ile kozi ya UGAD ambayo nape hakuisoma
 
shida yangu ni namna alivyosoma kwa kuungaunga. kwani alikuwa na shida gani? mtoro nini?
 
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye. Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi; Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;


  • Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3)
  • Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu “3” kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.
  • Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
  • Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
  • Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika “thesis” iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)

Tunataka grades alipata division gani? Form IV na Form VI? Na atupe performance ya masomo tujue upeo wake wa akili maana inaonyesha upro wake ni mdogo sana
 
Siku moja nikiwa JKT pale Mafinga kwa mujibu wa sheria tulipanga kuwahadaa Maafande Kuruta Mwenzetu akasimama pembeni wakati wa kupakuliwa ugali kuna Afande mmoja alikuwa akiitwa Afande Mwakyosi akamuuliza yule Kuruta kwanini hataki kula, Kuruta akamjibu afande kuwa hana APATITE, Afande akasema nenda kwa Kota Masta wenzio wamepewa mbilimbili leo we ulikuwa wapi?? Butimba TTC High School.
Umenikumbusha mbali sana na ufupi wa afande mwakyosi na maneno mengi na kujitia mkali lkn alikuwa poa ila mkwala kwa sana.Na nyahenge la mafinga,winter ya ulaya nyingine mtotoHuenda na kufahamu kama ulikuwa timu Conel Mlay na major mande. Mwakyosi akiita majina na AWOOO yake!BADALA YA AWL!
 
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika “thesis” iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)[/QUOTE]

NB. Kuna taarifa ya ambazo hazijathibitishwa ya kwamba thesis kuhusu GOLI LA MKONO wakati wa uchaguzi wa 2015.
 
Kumekuwepo na habari ambayo inavumishwa katika mitandao ya kijamii hasa hapa Jamiiforums kuhusu Elimu ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikati na Uenezi, Ndugu Nape Moses Nnauye. Taarifa hiyo kwa kiasi kikubwa inapotosha na kueleza yale ambayo si sahihi kuhusiana na CV ya Kiongozi huyo wa Chama cha Mapinduzi; Kutokana na Hilo, nimeona ni jambo la busara kuwasaidia wanajamvi kwa kuwapa CV iliyo sahihi ya Nape Moses Nnauye kama ifuatavyo;


  • Kati ya mwaka 1987-1989 alianza elimu yake ya msingi katika shule ya Msingi Mwanga-iliyopo Iramba Singida (ambapo alianza darasa la 1 mpaka 3)
  • Mwaka 1989-1993 aliendelea na kumalizia elimu ya msingi katika shule ya Bukumbi iliyopo misungwi Mwanza.(ambako alikuwa ni kati ya wanafunzi watatu "3" kati ya 120 waliochaguliwa sekondari.
  • Mwaka 1994-1995 alianza elimu ya Sekondari katika shule ya kutwa ya Ngudu Sekondari.(ambapo alisoma kidato cha kwanza mpaka cha pili)
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
  • Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
  • Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
  • Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe.
NB: Ndugu Nape Nnauye akiwa Kivukoni aliandika "thesis" iliyohusu ; VIKWAZO VINAVYOZUIA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA SIASA. Na pia akiwa Mzumbe University aliandika kuhusu ; SABABU ZINAZOCHANGIA USHIRIKI WA WAPIGAKURA (ni ipi sababu ya kutojitokeza wapigakura siku ya Kura)

sio mbaya kwa mwanasiasa wa Tanzania

Lakini sasa huu upuuzi na uropokaji kausome wapi huyu dogo??
 
Matokeo ya Nape Nnauye ya Ordinary level secondary education ni Division TWO..,kwa anayetaka kujiridhisha anaweza ku-google mwenyewe NECTA matokeo ya Nsumba Secondary 1997. na hata kwa matokeo mengine pia ambayo Ni ya ndani ya Nchi na kuhusu matokeo ya chuo cha bangalore nayo yapo TCU.,ni jambo la kuuliza na kujibiwa.

Butimba mkuu?au alivyosikia kateuliwa kakutumia fasta utufix.
 
Tandalaone,

Ninapokusoma between the lines naona kama wewe ndiye Nepi mwenyewe kabisa.
Wewe unapoteza muda wako bure kudanganya watu wenye elimu zao, hekima na busara ambao wamekuacha kwa mbali sana hata kwa akili ya kawaida tu.

Hii yote inaonyesha ni elimu ya kuunga unga wala haina mtiririko unaoeleewka. Nchi hii watu wote wanajua Butimba TTC ni chuo cha Ualimu( Butimba Teachers Training Centre) tangu enzi za Mwalimu. Sasa wewe tukikuuliza ni lini Butimba TTC kiligeuzwa kuwa High School?

Inaawezekana vipi mtu anasoma Masters ya Public Administaration anafanya Thesis ya Wapiga Kura???Mtu aliyekwenda shule utajua tu hata anapoongea. Kazi ya Nepi ni ku

Kwa kifupi ni kwamba Nepi Nauye ni kibuyu na huo Uwaziri hatafanya lolote pale. Watanzania tegemeeni madudu kama ya kuzifungia media zisiandike ukweli kuhusu Tanzania. Tegemeeni magazeti kama Mwanahalisi. Mawio, Tanzania Daima, Mwananchi, Nipashe n.k yakipelekwa mahabusu.

Tusubiri.
 
Back
Top Bottom