msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,826
- 1,734
Diploma ya mwaka mmoja au certificate?
msiwe mnakashfu elimu za wapinzani wenu bila kujua kama baadhi ya viongozi wenu pia wana elimu ya chini,, kuongoza sio elimu,, viongozi wengi walofanikiwa hawana PHD,, unamkashifu baba wa mwenzio kuwa anakagari ka zamani wakati baba yako hata baiskeli hana,, baba yako akiiona message si atajua unamdharau,, chungegi kauli zenu