Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

......Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC...



Wewe bana!!!! Hii Tanzania watu wanazo taarifa kibao. Hapo Kwenye redi mbona utaki kujadili RE-SEATING yake akiwa Private Candidate kutafuta kujaziliza vimaksi akubalike katika chuo cha maana. Na hakuweza kupata vimaksi kutosha kuingia chuo cha maana. Au we unaona kile chuo cha Ngwini na kutetea ujamaa pale Kigamboni nacho ni chuo? Ha ha ha ha.....

Sasa nikwambie. ni baada ya kukosa maksi za maana kwenye re-seat ndo alianza siasa; Tunajua mambo mengi kuliko unavyodhani bana.... Au unataka kusema hakuwahi ku-Re-Seat na kukosa maksi za maama watu wakupe data hapa. Ha ha ha ha ....
 


Mkuu rekebisha hapo. Namfahamu huyu kijana vizuri. Mwaka 1998 - 2000 alikuwa Singida akisoma soma masomo ya jioni na wakati huo huo akisambaza neno la Bwana kwenye mitaa ya mji huo na hatimaye alifanya mtihani wa kidato cha VI mwaka 2000 katika shule ya sekondari Mwenge iliyoko mjini Singida (kivipi sijui maana hata Form Four alipigizwa) na kupata daraja Sifuri (Zero).

Sasa tupe maelezo aliendaje Butimba TTC kipindi hiko hiko? Smelling rat
Asante Mkuu wahanya.
Njia ya mwongo fuuupi!!!!!!!!
 
ambatanisha na ufaulu wake kuanzia O'Level na A'Level ndio tutaamini lasivyo akaunti feki za jamii forum ndio zinafanya kazi halafu wewe ni nani hadi umtete wakati na yeye ni member humu.
...huyu ni fisadi wa Elimu. kuna waliofaulu zaidi yake na walikosa kwenda chuo kikuu yeye alipenyaje kama sio kifisadi? Hapo kwenye red tumeuliza sana lakini hathubutu - mwenzake JJ Mnyika kaweka wazi yeye anaona aibu kutuambia.
 
mods rudisheni na ile CV ya slaa ili tuoanishe elimu za watendaji wetu! CV slaa ikijadiliwa mnaikimbiza haraka sasa huko ni kuwakosea wasomaji UNAZI wekeni kando!
cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
mods rudisheni na ile CV ya slaa ili tuoanishe elimu za watendaji wetu! CV slaa ikijadiliwa mnaikimbiza haraka sasa huko ni kuwakosea wasomaji UNAZI wekeni kando!
cc Ritz

njaa mbaya habebeki nahuu
 
Last edited by a moderator:
By MAPUMA MIYOGA
"Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC'
Kaandae upya hii cv ya kuforge, 1998-2000 High School + kuhitimu Butimba TTC ambako ni chuo cha ualimu!!!!!!!!!!!

These guys sacks....yaani jitu na akili zake llinakuja na upuuzi wa namna hii. Unakuja wameipitisha kwa mhusika na yeye alivyo zero kaona yap hii imetulia....1998-2000 mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC.....kumbe miaka hiyo Butimba ilikuwa chuo cha ualimu na wakati huo huo ni secondary ya A level? AMA kweli ukistaajabu ya Musa!

Jamaa anatufanya hamnazo kama CCM wenzake. Hes bogus. Huwezi kudanganya elimu kipuuzi namna hii wakati uliosoma nao wapo na wanakuchora tu!!!
 
ambatanisha na ufaulu wake kuanzia O'Level na A'Level ndio tutaamini lasivyo akaunti feki za jamii forum ndio zinafanya kazi halafu wewe ni nani hadi umtete wakati na yeye ni member humu.

Na siasa ni kwa kutumia jina la mwanaume aliyezaa na mama yake. Vinginevyo huyu angekuwa anasaga lami. Amshukuru Moses Nnauye kuwa mkuu wa Mkoa Singida miaka ya 76 na kukutana na mama yake ha ha haaa
 
Ni msomi mzuri na anafanya kazi nzuri,,ni miongoni mwa vijana wenye weledi,makini na jasiri katika tanzania
 
Wanajamii hiyo CV ni ya uongo tena sana Mie nimesoma Nsumba miaka hiyo na Sikumfahamu, pia kama nikweli atwambie moto wa Nsumba ulisemaje miaka hiyo na head master alikuwa ni nani.? Pia Butimba TTC hakukuwa na Advanced level bali ni chuo cha ualimu ngazi ya cheti na diploma,Jamani mie kwa hiyo CV namashaka nayo!
 
mods rudisheni na ile CV ya slaa ili tuoanishe elimu za watendaji wetu! CV slaa ikijadiliwa mnaikimbiza haraka sasa huko ni kuwakosea wasomaji UNAZI wekeni kando!
cc Ritz

yaani kinachotakiww hapa ni ubishi tuu eeh? unajua kati ya taasisi zinazoongoza kwa elimu ni Roma Catholi? hujui au unamaksudi? ushahidi angalia matokeo ya mitihani kila mwaka ya form 4&6 Afu uje na hoja yako upya, mimi si muRC ila si mnafiki pia, jamaa kwa masuala ya elimu wako juu saana, na huwezi kuwa padri ukiwa kilaza, Nape asinge thubutu hata na zero zake na usekretari/katibu muktasi wake! huyo dogo kilaza, ndo maana kama chama mnapoteza muelekeo! kwa akili zake cheo kimemzidi kabisaa!
 
Last edited by a moderator:
Wengine tunang'ang'ana na udanganyifu wa kura,kumbe wenzetu wameanzia kwenye elimu!! Kweli kulibamdua gamba ni shughuli,
 
Heee! Kumbe hata baba ni nanihii,leo ndio nimejiaminisha kuwa baba wa kambo ni baba.
 
Back
Top Bottom