Hii ndio faida ya kuwagawa mashabiki kwa itikadi, pole sana Zuchu

Hivi hata Ali kiba si anapigia kampeni ccm.
Nae angewekwa yangemkuta haya haya?
 
Sasa huu si ni ushahidi kwamba aliyetufikisha hapa hafai kwa kuharibu maisha ya watanzania

Akishindwa pia wakubali kushindwa naye maana ndilo chaguo lao
 
Kiba ni msanii mwwnye hekima sana huwezi mkuta kavaa nguo za chama chochote, japo kuwa wanalazimishw
 
This proves democrasia tulilazimishwa tu haiko damuni, kupemda chama cha siasa na sawa na kupenda timu ya mpira. inatokea tu unakipenda na hakuna wa kukuambia otherwise.
Na kwenye hili lazima lieleweke, nikipenda CDM/CCM hakuna wa kunikataza maana ni maamuzi yangu. na nina haki na maamuzi hayo kama mwingine alivo na haki ya kupenda chama/timu mbadala.
Tuheshimu maamuzi hayo hata kama yanakinzana na maamuzi au itikadi zetu. Na huku ndo kukomaa kidemokrasia
 

Na wewe unakosea unaposema yuko team fulani

Umewaza kijinga pia


Diamond miaka yote yuko CCM na anashinda

Kibaz hamornize wote CCM, sasa idea ya uteam umeitoa wapi?
 
Na hii bongo lazima wajifunze kubalance mambo, walikuja wenzake wakali kuliko yeye na wakapotea, muziki bila surpporters ni kazi bure, kakitaka kalie tena!
 

Kuna kitu mi nimeona kinatokea.... yani huwezi kuacha kusikiza muziki wake... lakini kuna kitu kinakutoa moyo wa kumsupport pale anapoitaji support(subconciously) yan inakuwa km automatic unapuuzia anachotaka lakini kwa yule ambaye mna itikadi moja unajikuta unasupport bila hata kujiuliza... hivyo ndivyo ilivyo... si sawa na yule ambaye yuko nyutro.
 
Na wewe unakosea unaposema yuko team fulani

Umewaza kijinga pia


Diamond miaka yote yuko CCM na anashinda

Kibaz hamornize wote CCM, sasa idea ya uteam umeitoa wapi?
Mzee kama una akili nzur utaona kuna post ni hate tu za uteam...mbona huo moto hawajauwasha kwa Alikiba au harmonize si wao wanawania afrima pia

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Na hiki kitu kwa wabongo huisha baada ya upepo kupita...hii tumeona kweny matukio meng...hii sio mara ya kwanza

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
na ikitokea huyu zuchu akashinda tuzo angalau moja ya kimataifa kwa mwaka huu, litakuwa PIGO jingine kubwa kwa @Upinzani uchwara wa kibongo baada ya lile la October 28....

ZUCHU (the female version of DP) we are behind you..! Tutakusapoti
 
Hahahahahahahahah Hakuna kitu cha kusubiri hapo,Tanzania hakuna msanii wa kushinda Grammy Acha kujidanganya,Ushinde Grammy kwa kuimba Litawachoma,Cheche sijui JEJE labda hizo Grammy ziwe zimeandaliwa na Polepole au Uvccm.
Kumbe nyie mnaangalia Grammy pekee[emoji3] Kuna tuzo nyingi mno diamond kawa nominated apart from grammy
 
Tatizo wasanii hawa sio mara ya kwanza hii kua ccm na kuwania awards,,unataka kusema Diamond hapo mwanzo alishinda awards zote akiwa chadema?[emoji1787][emoji1787]
Hali ya siasa,uchumi na uhuru wa watu ulikuwaje kipindi hicho.Kuwa mfikiriaji mkubwa kwanini Sasa.
 
Tatizo wasanii hawa sio mara ya kwanza hii kua ccm na kuwania awards,,unataka kusema Diamond hapo mwanzo alishinda awards zote akiwa chadema?[emoji1787][emoji1787]
Alishinda ndio,lkn Hali ya nchi kisiasa kiuchumi,uhuru wa watu vilikuaje kulinganisha na sasa? Hujiongezi ukajiuliza why sasa watu wana hasira kias hiki? Fikiri tofauti kidogo.Usiongee kwa mazoea.
 
Siasa Ni km oksijeni.Inaamua kila jambo ktk maisha yetu.Huwezi enda jukwaani mziki mkubwa unaimba kamata wapinzani tupa kule....mara eti watawezaaaaa,ukatukana ukabeza jinsi unaweza,halafu kesho unaomba wapinzani hao hao kura.Utakuwa una ufahamu mdogo sana.Ukishachagua upande jua kuna upande kinzani tayari.
 
Nitaweka bando Ku vote kwa zuchu, mwenyekiti katukosea sana kwa kuleta utengano kwa watanzania, enzi za mchonga tulisema watanzania ni ndugu. Zuchu hana kosa kafanya kazi yake ya sanaa kama mteja wake CCM alivyo taka, kwa kufanya kazi hakumuondolei utanzania wake.
MPE kura ya tuzo zuchu, ni kura kwa tanzania
 
Aliimba wapinzani watawezaaaaa.....na kwa hili tunasema hatuwezi kumpigia kura,aende kwenye jukwaa la kampeni akaombe kura huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…