Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,772
Nyie hamna nguvu, mlisusia Voda, ipo wapi, mkamsusia diamond 2015 alivyo imbia ccm, yupo wapi, you guys are vry few, ni mna makelele mengi tu.Hatupaswi kuwapigia kura wasanii wa Tanzania wala kwenda kwenye matamasha yao.Ccm wametesa na kuua watu kwa miaka mitano lkn,wasanii wameshindwa kuutumia umaarufu wao vzr matokeo yake wanakubali kuinamishwa na ccm!
Si Utaona kama zuchu atatingishwa