Alaf mzee wale sio kama wanapenda kufanya zile kampen...wale wameshikwa pabaya...Wanatumia TCRA na Basata kuwanyosha hao wasanii..
Muone jide kilichomkuta tayar anaambiwa amechochea uvutaji bangi kisa kagoma kwenda kweny kampen.
Hao wasafi walifungiwa kwa kichaka cha maudhui lakin ukwel jamaa walikua wnapost habar za lisu...sasa tangu wmerud hewan umeona hata post ya upinzan tena? Clouds nao vile vile...sas mond hapo akipiga hesabu unafkr atagoma?
Shida hapa sio wasanii shida ni Watanzania wote...leo tukisema tuingie barabarn kudai haki zetu mzee utatoka? Okey tuseme we jembe utatoka..je jiran yako atatoka?
Tusiumize mtu individual kweny vita ya taifa zima...zuchu anaangalia ugal wake kama mtu mwingine yule ambaye atagoma kudai haki za msingi....
Basi tukitoka kwa wasanii tuamie wapi kugoma kutibiwa kweny hospital walizojenga ccm au? Kama hii ndo strategy ya kuitoa ccm basi ccm wana miaka 1000 tena mbele [emoji3]
Sent from my SM-G920P using
JamiiForums mobile app