Hii ndio faida ya kuwagawa mashabiki kwa itikadi, pole sana Zuchu

Hii ndio faida ya kuwagawa mashabiki kwa itikadi, pole sana Zuchu

Wewe mtoto,wewe mtoto,wewe mtoto....nimekuita mara tatu itika.Kumbuka kupotea kwa Ben Saanane,Azory Gwanda na wengineo.Kumbuka kupigwa risasi kwa Tundu Lissu,kumbuka manyanyaso kwa watumishi wa umma na Wazee wastaafu,kumbuka manyanyaso kwa wakulima na wafanyabiashara.Nafahamu wewe ni mnufaika na uwepo wa ccm so,haupo kwenye kundi lolote kati ya hayo niliyoyataja lkn,Zuchu ameungana na watesi na wauaji wa jamii yake hastahili kutendewa wema hata kidogo!
Kwann zuchu na WCB peke Yao wakat Kuna maua sama,nandy,alikiba, harmonize na wengine wengi. Kuna ki2 kipo tofauti na hizi itikadi za vyama.
 
unayepingana nae kashakukalisha kwa hoja kabisa, muda si mrefu mlisema Zuchu hana mashabiki Bali wote wanaomkubali Zuchu ni mashabiki wa wcb, mm nimeelewa mchezo wenu mnapitia mgongo wa siasa kuzisema chuki zenu dhidi ya WCB na mioyoni mwenu nyie ni watu wamateam tu.
Ndio ilivyo kwani hawajaona wasanii wengine tofauti na WCB?
 
Tatizo dogo katugawa alaf ukichek watu wamepigika bas wanakua na hasira na kila mtu wa ccm..ila kiukweli mziki anajua kuimba
 
Hawezi shinda

Usiwadharau watz wa mtandaoni wa nguvu Sana kwenye hii sekta Yao

Bila watz wa mtandao Mondi angekuwa anakula unga saivi Tandale .

So huyo zuchu atatamba hapa hapa mavumbini .
 
Hizi siasa zimepelekea baadhi ya wanaume kuwa kama wanawake. Hili suala la wasanii ndio limekuja kipindi hiki halafu hao hao wanaolalamikia wasanii wana njaa wakati hata nyimbo zao wanapakua bure tu.
 
Kumbe nilikuwa na argue na 'pimbi' tu ambaye amejaa 'mahaba' na upuuzi wa wasanii uchwara'.
Take a[emoji1617]for a while until u get rid off ure blurr conscious
Mimi ni Ccm ndio lakini sikakubali hako kademu

Lakini siioni hii harakati yenu ikifanikiwa maana ni harakati ya kishenzi
 
Hawezi shinda

Usiwadharau watz wa mtandaoni wa nguvu Sana kwenye hii sekta Yao

Bila watz wa mtandao Mondi angekuwa anakula unga saivi Tandale .

So huyo zuchu atatamba hapa hapa mavumbini .
Huko Twitter kuna Link imewekwa ya Tuzo za AFRIMA jamaa wana vote wasanii wa nchi yoyote ile hata ambao hawajawahi kiwasikia ili tu wasimpigie Diamond/Zuchu na wanaweka screenshot za walicho vote.

Noma sana
 
Huko Twitter kuna Link imewekwa ya Tuzo za AFRIMA jamaa wana vote wasanii wa nchi yoyote ile hata ambao hawajawahi kiwasikia ili tu wasimpigie Diamond/Zuchu na wanaweka screenshot za walicho vote.

Noma sana
Hahahahahahahahah Na bado
 
Hawezi shinda

Usiwadharau watz wa mtandaoni wa nguvu Sana kwenye hii sekta Yao

Bila watz wa mtandao Mondi angekuwa anakula unga saivi Tandale .

So huyo zuchu atatamba hapa hapa mavumbini .
Kwaiyo watz wa mtandaon ndio voters wa grammy sio? ,[emoji16]

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Me nashangaa mtu na akili zako unamchukia Msanii kisa ka perfome kwenye kampeni za CCM.
Above yote, yule pia ni mtu na ana haki ya kuwa mfuasi wa chama chochote anachokitaka kama wewe ulivyo chagua chama chako.
Upande wa Mziki unabaki vile vile, hizo ni Chuki na wivu tuu..
 
Me nashangaa mtu na akili zako unamchukia Msanii kisa ka perfome kwenye kampeni za CCM.
Above yote, yule pia ni mtu na ana haki ya kuwa mfuasi wa chama chochote anachokitaka kama wewe ulivyo chagua chama chako.
Upande wa Mziki unabaki vile vile, hizo ni Chuki na wivu tuu..
Kwani na watu pia siwameamua kutompigia kura kwa mapenzi yao wenyewe?

Sasa shida ni nini hapo?
 
Back
Top Bottom