Hii ndio faida ya kuwagawa mashabiki kwa itikadi, pole sana Zuchu

Hii ndio faida ya kuwagawa mashabiki kwa itikadi, pole sana Zuchu

Yaani wasanii wakatae deals kwa sababu kuna watu watachukia? Mtawalisha?

Mbona 2015 queens wa bongo movie wote walikuwa upande wa Lowasa na hatukuacha kufuatilia kazi zao?
Hao Queens wa bongo mavi hawakuwa na impacts yoyote inayogusa maisha ya mtanzania mmoja mmoja.

Akili ndogo Sana hapa inahitaji kuelewa hili jambo, kipindi ambacho jamii ipo kwenye taharuki kubwa ya utawala wa ukandamizaji na Hali ngumu ya kiuchumi, wao Kama wasanii (kundi dogo) lilipaswa kuisemea jamii na siyo kuungana na 'wakandamizaji' na wauaji eti kwa sababu ya kipande cha fedha.

Kama hutalielewa hili u just go back home and feed ur mom breast for benefit of your brain.
 
Nikusahihishe kidogo lakini baada ya kukubaliana na wewe kuhusu tabia ya watanzania kusahau yaliyopita. Ni bahati mbaya sana kwa hizo kura za Grammy kuhitajika wakati huu kidonda cha ushabiki wa vyama kikiwa kibichi kabisa.
Msanii na wanamichezo kazi yao ni kuunganisha jamii, hivyo ni kazi yao kwa umoja wao kujitenga na siasa zinazoitenga jamii. Hasa siasa kama hizi za sasa.
Trust me mkuu...hao jamaa awards watapata na uzi utakuja kufufuliwa huu...
Mim pia ni mpinzani mwenzako lakin kweny hili naona haina maana...mda tupo busy na kusema fulan asishinde grammy ccm wao wako busy na majimbo

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Ndio namshangaa... miaka yote awards wanazoshinda hao wasanii si wapo na ccm miaka yote...anataka kusema safar hii ndio wasanii wmekua na ccm? Na hapo mwanzo hawakuwah shinda hizo tuzo? Unajua ukiwa team flan unaeza sahau hata team yako nayo ni ccm hao hao

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
unachotakiwa kujua ni kwamba mashabiki wamegawanyika....si afya kwa upande wa wasanii wetu....celebrity anatakiwa kuwa mstari wa mbele kutetea haki za raia,unaweza kuuliza haki gani wamenyimwa watanzania? jibu lipo wazi kabisa labda ujitie upofu kwankuwa wewe ni chawa wa ccm.....angalia hapa chini wenzano huko Nigeria
IMG_20201012_061613.jpg
 
Mkuu

Kwa kesi ya Zuchu,hao fans wanaomkataa ni wa upande wa pili wa msanii gani competitor wa Zuchu in this issue?

None!

Your point is dead already!
Unachoshindwa kukubali hapo kua ni team tu ndio source ya yote...Haya mambo huitaj degree kuyajua...

Nikuulze swali,kwani awards zote walizoshinda wasaniii lets say Diamond..je wasanii hao walishinda wakiwa chadema?
Mchawi wa nchi hii sio msanii...msanii nayeye ana njaa zake tu kam ww mkuu...badala ya kufocus hyo tareh 28 watu mnawaza fulani akose grammy WTF men!!!

Hao jamaa watashinda na huu uzi watu watataman ufutwe...Mm pia mpinzani ila kweny hili its a bullshit!!!

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: T11
unachotakiwa kujua ni kwamba mashabiki wamegawanyika....si afya kwa upande wa wasanii wetu....celebrity anatakiwa kuwa mstari wa mbele kutetea haki za raia,unaweza kuuliza haki gani wamenyimwa watanzania? jibu lipo wazi kabisa labda ujitie upofu kwankuwa wewe ni chawa wa ccm.....angalia hapa chini wenzano huko NigeriaView attachment 1597698
Mzee kwanza mimi siwez kua ccm miaka 100...
Pili nimeongea reality ilivyo...Ww ni mgen na hii nchi? Wasaniii wamekua waoga kutokana na system ilivyo..unafkr wao hawna shida? Tusitegemee msanii atakuja kuikomboa hii nchi...na hatuez itoa ccm eti kwa kuwanyima watu grammy [emoji16] hebu soma vzr post yangu utaelewa position yangu..

Huyo chini ni Diamond...unataka kusema hao wana wote hapo ccm damu? Hii maana yake msanii pamoja na Chama chake that none of our business...na hili utaliona tena..jamaa watabeba awards kama kawa...Tupambane tareh 28 tuache kuhangaika na hao wafia tumbo
Screenshot_20201012-120012.jpg


Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Trust me hao ni fan wa upande wa pili...mim siwez mchukia lets say Kiba kisa ccm...kuna maisha ni personal atajua yeye mwenyew msanii...

Na wasanii sio kama wanpenda...Ukileta kiburi jamaa wanakula sahani moja naww kuptia basata na tcra...Mda msanii anafungiwa Shabiki upo zako geto umelala...tusifanye kama hatuijui hii bongo yetu...

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Kweli, mkuu watu wanataka demokrasia lakini wao hawataki watu wachague upande wanaoutaka. Sasa sijui ni Demokrasia gani wanayoihubiri?
 
Brother

Hatuangalii wewe una "believe" nini,ni belief yako wewe....shida hapa jibu swali...

Ni "utimu",...tueleze kwa hii kesi ya Zuchu leo tarehe 12/10/2020....

Taja hizo "team" mbili zinazopingana kuhusu hili tukio la Zuchu leo?
Braza mda ni hakim tosha sana...hyo kesi sio mpya...nimekuulza inamana hao wasanii kuna siku waliwah kua upinzan na wkashinda hizo awards? Upinzan kweli tumekosa dira...yani tunaangaika na zuchu badala ya magu[emoji119]

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Kweli, mkuu watu wanataka demokrasia lakini wao hawataki watu wachague upande wanaoutaka. Sasa sijui ni Demokrasia gani wanayoihubiri?
Hapa mkuu ukifuatilia ni haters tu..sasa kama wao wanauchungu wakamvae na kibakuli mana si nae anataka kura za afrima..

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Hao Queens wa bongo mavi hawakuwa na impacts yoyote inayogusa maisha ya mtanzania mmoja mmoja.

Akili ndogo Sana hapa inahitaji kuelewa hili jambo, kipindi ambacho jamii ipo kwenye taharuki kubwa ya utawala wa ukandamizaji na Hali ngumu ya kiuchumi, wao Kama wasanii (kundi dogo) lilipaswa kuisemea jamii na siyo kuungana na 'wakandamizaji' na wauaji eti kwa sababu ya kipande cha fedha.

Kama hutalielewa hili u just go back home and feed ur mom breast for benefit of your brain.
Zuchu anagusaje maisha ya mtanzania mmoja mmoja?
 
Trust me mkuu...hao jamaa awards watapata na uzi utakuja kufufuliwa huu...
Mim pia ni mpinzani mwenzako lakin kweny hili naona haina maana...mda tupo busy na kusema fulan asishinde grammy ccm wao wako busy na majimbo

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Bora
 
Lakini kama ndo hivyo mbona tunalazimishana kupiga kura sababu sisi mbona hatukuwalazimisha wasiende ccm?
Basi na ni chaguo la mtu kupiga kura au kutopiga ama kumpigia nani?

Msanii ni kioo cha jamii kimulike pande zote ..unapochagua kuwa kulia ,kushoto hawawezi kukusapoti

Akale alikomwaga mboga
Kwani kakulazimisha umpigie kura au yeye kaomba kwa wanaotaka kumpigia kura?
 
Wasanii hawa,mara hili mara lile..mara Diamond zamani,mara....

Hatuko huko...tuko leo hapa tunazungumzia award ya Zuchu

Leo kwenye hii nomination unadai kuna "utimu"..

Nikakuuliza leo kuna "Timu Zuchu" na "Timu Nani" wanapambana?

Hakuna opponent...hivyo hoja yako ya eti "utimu" kwenye hii ishu ya leo haipo...

Leo ni wafuasi wa Chama kingine walipoona Zuchu anapendelea Chama Cha Mapinduzi imebidi apoteze wafuasi wale wa vyama vingine...

Ndio athari yake.....

Mwanamuziki hua ana wafuasi wa vyama vyote,ila akionesha mapenzi yake kwa chama kimoja na ku-diss vingine directly anafukuza wafuasi wa hivyo vyama alio-diss

Ndio kilichotokea hapa...Zuchu na hao wengine should deal with their own stupidity....
Hivi team kiba watashangia hii awards ? Team konde je? Usijifanye mtoto mdogo bro...kama kwel mnahasira basi kiba na harmonize pia mkawawashie moto..si wanawania afrima na pia ni ccm..why zuchu? Na huyu mtoto anawapa watu hasira sana hasa team pinzani..video yake ilivyo tolewa youtube mlikuja kufungua mpaka uzi

Hii awards atashinda yule mtoto na huu uzi utabaki kama fedhea kwenu..kama ipo ipo tu mkuu....aliekwambia ccm inatolewa kwa kumbania zuchu grammy nan? Kua nominated tu ni ushindi tosha...


Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Wewe mtoto,wewe mtoto,wewe mtoto....nimekuita mara tatu itika.Kumbuka kupotea kwa Ben Saanane,Azory Gwanda na wengineo.Kumbuka kupigwa risasi kwa Tundu Lissu,kumbuka manyanyaso kwa watumishi wa umma na Wazee wastaafu,kumbuka manyanyaso kwa wakulima na wafanyabiashara.Nafahamu wewe ni mnufaika na uwepo wa ccm so,haupo kwenye kundi lolote kati ya hayo niliyoyataja lkn,Zuchu ameungana na watesi na wauaji wa jamii yake hastahili kutendewa wema hata kidogo!
Diamond kashinda tuzo nyingi na ajawahi kuwapigia kampeni vyama vya upinzani
 
Zuchu anagusaje maisha ya mtanzania mmoja mmoja?
Kama umeshindwa kujua msanii mwenye followers wengi kwenye social platforms anawezaje kumotivate Jambo chanya katika jamii,Basi nami sitoweza kujichosha kukueleza msanii Kama huyo (zuchu) anagusaje hayo maisha ya mtanzania!
 
Back
Top Bottom