Hii ndio faida ya kuwagawa mashabiki kwa itikadi, pole sana Zuchu

Hii ndio faida ya kuwagawa mashabiki kwa itikadi, pole sana Zuchu

Bongo Movie iko wapi kwa sasa?
Yaani wasanii wakatae deals kwa sababu kuna watu watachukia? Mtawalisha?

Mbona 2015 queens wa bongo movie wote walikuwa upande wa Lowasa na hatukuacha kufuatilia kazi zao?
 
Zuchu anagusaje maisha ya mtanzania mmoja mmoja?
Zuchu alipendelea Ccm lini?

Alishaitwa na wapinzani akagoma?

Sina hakika kama wapinzani hela hiyo wanayo
 
Ccm tupo tutampigia kura zuchu,,wapinzani hamna maana kabisa[emoji51][emoji51]
Mbona hamjaja kumsaidia boss wenu ku-like?
EkC6MxgXsAEG-gl.jpg
 
Wasanii hawa,mara hili mara lile..mara Diamond zamani,mara....

Hatuko huko...tuko leo hapa tunazungumzia award ya Zuchu

Leo kwenye hii nomination unadai kuna "utimu"..

Nikakuuliza leo kuna "Timu Zuchu" na "Timu Nani" wanapambana?

Hakuna opponent...hivyo hoja yako ya eti "utimu" kwenye hii ishu ya leo haipo...

Leo ni wafuasi wa Chama kingine walipoona Zuchu anapendelea Chama Cha Mapinduzi imebidi apoteze wafuasi wale wa vyama vingine...

Ndio athari yake.....

Mwanamuziki hua ana wafuasi wa vyama vyote,ila akionesha mapenzi yake kwa chama kimoja na ku-diss vingine directly anafukuza wafuasi wa hivyo vyama alio-diss

Ndio kilichotokea hapa...Zuchu na hao wengine should deal with their own stupidity....
unayepingana nae kashakukalisha kwa hoja kabisa, muda si mrefu mlisema Zuchu hana mashabiki Bali wote wanaomkubali Zuchu ni mashabiki wa wcb, mm nimeelewa mchezo wenu mnapitia mgongo wa siasa kuzisema chuki zenu dhidi ya WCB na mioyoni mwenu nyie ni watu wamateam tu.
 
Nikusahihishe kidogo lakini baada ya kukubaliana na wewe kuhusu tabia ya watanzania kusahau yaliyopita. Ni bahati mbaya sana kwa hizo kura za Grammy kuhitajika wakati huu kidonda cha ushabiki wa vyama kikiwa kibichi kabisa.
Msanii na wanamichezo kazi yao ni kuunganisha jamii, hivyo ni kazi yao kwa umoja wao kujitenga na siasa zinazoitenga jamii. Hasa siasa kama hizi za sasa.
Mbona Diamond kashinda tuzo nyingi na amewapigia kampeni CCM Burudani na Siasa Ni vitu viwili tofauti.
 
Kwa hyo mlitaka zuchu akawapigie debe chadema?.
"TUSIPANGIANE VYAMA".
ukitaka kumpigia kura mpigie usipotaka ACHA.
 
Kama umeshindwa kujua msanii mwenye followers wengi kwenye social platforms anawezaje kumotivate Jambo chanya katika jamii,Basi nami sitoweza kujichosha kukueleza msanii Kama huyo (zuchu) anagusaje hayo maisha ya mtanzania!
Pumbavu wewe wakati huo Wema alikuwa na followers wangapi?

Wolper? Anti Ezekiel?

Tatizo mmetimiza miaka 18 juzi na huu ndio uchaguzi wa kwanza

Hamjui ya nyuma
 
Bongo Movie iko wapi kwa sasa?
Kwamba Chadema ndio wameiua?

Mbona haikufa TOT? Mbona haijafa Bongo Fleva na wasanii wanatumika na Ccm miaka yote?

Mna harakati za kishenzi tu
 
Jitahidi kuheshimu ITIKADI ya mwenzio.
Sio lazma wote tuwe ccm au wote tuwe chadema..
Unachokiwaza wewe MWENZIO HAKIWAZI
Hatupaswi kuwapigia kura wasanii wa Tanzania wala kwenda kwenye matamasha yao.Ccm wametesa na kuua watu kwa miaka mitano lkn,wasanii wameshindwa kuutumia umaarufu wao vzr matokeo yake wanakubali kuinamishwa na ccm!
 
Mkuu una vituko sana....naona umeamua kujijibu comment yako binafsi...

Hahahahaa

This is hillarious!
Jibu swali? Kuitwa kupiga kazi ni kupendelea?
Akatae kwa maslahi ya nani?

Mbowe atamlisha?
 
Kwamba Chadema ndio wameiua?

Mbona haikufa TOT? Mbona haijafa Bongo Fleva na wasanii wanatumika na Ccm miaka yote?

Mna harakati za kishenzi tu
Naona nyinyi wenye harakati za kijanja mmetulia tuli.
Screenshot_2020-10-08-23-57-29-1.jpg
 
Ilianzia kufa mikononi mwa CCM ilipoenda Chadema ikazikwa rasmi
Kwamba Chadema ndio wameiua?

Mbona haikufa TOT? Mbona haijafa Bongo Fleva na wasanii wanatumika na Ccm miaka yote?

Mna harakati za kishenzi tu
 
Kwakweli
Trust me hao ni fan wa upande wa pili...mim siwez mchukia lets say Kiba kisa ccm...kuna maisha ni personal atajua yeye mwenyew msanii...

Na wasanii sio kama wanpenda...Ukileta kiburi jamaa wanakula sahani moja naww kuptia basata na tcra...Mda msanii anafungiwa Shabiki upo zako geto umelala...tusifanye kama hatuijui hii bongo yetu...

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
 
Japo simkubali jiwe na ccm yake lakini chuki zetu zisipitilize kwa kiasi hiki wakuu,maisha ndio yanatufanyaga tufanye vitu fulani fulani si kwa hiari yeti isipokuwa kwa ajili tu ya kupata kitu fulani.Huyu dada anafanya anayoyafanya kwa ajili ya kujipatia kipato sidhani kama anaipenda ccm kiasi kwamba akifa atazikwa nayo.
 
Neutrality ni inshu hasa ukiwa subjected na mayala na nusu (njaa)
 
Kuacha kumpigia kura haitoshi inabidi tupige kwa opponent ili asishinde kabisa
 
Back
Top Bottom