Hivi team kiba watashangia hii awards ? Team konde je? Usijifanye mtoto mdogo bro...kama kwel mnahasira basi kiba na harmonize pia mkawawashie moto..si wanawania afrima na pia ni ccm..why zuchu? Na huyu mtoto anawapa watu hasira sana hasa team pinzani..video yake ilivyo tolewa youtube mlikuja kufungua mpaka uzi
Hii awards atashinda yule mtoto na huu uzi utabaki kama fedhea kwenu..kama ipo ipo tu mkuu....aliekwambia ccm inatolewa kwa kumbania zuchu grammy nan? Kua nominated tu ni ushindi tosha...
Sent from my SM-G920P using
JamiiForums mobile app