Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Anamjua mbonaAliyeshiba hamjui mwenye njaa
Wivu tuHuku viongozi wa Nchi wakiendelea kusafiri na Mamia ya Wapambe kwa gharama za kutisha, huko Kwao Nachingwea hali ndio kama mnavyoiona.
View attachment 2780027
Tunashauri kwamba badala ya viongozi kusafiri na Umati wa Chawa wao , ni vema chawa hao wakapunguzwa ili hela itakayookolewa irekebishe umasikini huu.
View attachment 2780030
Asingeenda India na lundo la ChawaAnamjua mbona
Aiseeeee !!Wivu tu
Ohoooooo !!!Nchi ya KISENGE saana hii
Nataka kuzamia nje ya nchi. Any idea?Nchi ya KISENGE saana hii
Kwani mbunge wa hapa yuko wapi? (in Jiwe’s voice)Huku viongozi wa Nchi wakiendelea kusafiri na Mamia ya Wapambe kwa gharama za kutisha, huko Kwao Nachingwea hali ndio kama mnavyoiona.
View attachment 2780027
Tunashauri kwamba badala ya viongozi kusafiri na Umati wa Chawa wao , ni vema chawa hao wakapunguzwa ili hela itakayookolewa irekebishe umasikini huu.
View attachment 2780030
Wewe ndio unawajua kama chawa ila Wana kazi zao haoAsingeenda India na lundo la Chawa
Anaongoza kwa kugonga meza bungeniKwani mbunge wa hapa yuko wapi? (in Jiwe’s voice)
Wivu tu!Nchi ya KISENGE saana hii
Sijawahi tamani zamia sehemu, hivyo sijafanya tafiti, ila Luxembourg hivi naona patatufaa, nchi za scandinavia huko, BRUNEI huko panaweza kufaa zaidiNataka kuzamia nje ya nchi. Any idea?
Ukitaka tufunguke zaidi hii nchi itatikisika vibaya sana !Wewe ndio unawajua kama chawa ila Wana kazi zao hao
Wivu tuAliyeshiba hamjui mwenye njaa
Upo kwenye ignored list.Wivu tu!