Hii ndio hali halisi ya mambo huko Nachingwea

Njoo uzamie kwangu, tutapata solution nzuri zaid🤣😂
hiyo sio solution nzuri hata kidogo. Wale wanaozamia kwenye meli inakuaje? Niende pale bandarini nikazame ndani ya meli kwa kificho.
Hata nikifia njiani poa tu lkn niwe nimeondoka hapa bongo
 
hiyo sio solution nzuri hata kidogo. Wale wanaozamia kwenye meli inakuaje? Niende pale bandarini nikazame ndani ya meli kwa kificho.
Hata nikifia njiani poa tu lkn niwe nimeondoka hapa bongo
Bongo nyoso
 
Sio sawa hata kama hamtaki kuambiwa.
1. Mwalimu wa Praimari kwenda nyumbani na 300,000/- wakati mbunge kwa siku anapokaa bungeni kupata 450,000.

2. Kutawanya land cruiser nchi nzima wakati watoto wetu wanatumia majivu kama daftari.

3. Kuwa na kiwango kikubwa cha Degrees ambazo ni useless bila kuweka mkakati ya kulinusuru taifa.

Hili nchi is beyond repair. Immediate actions need to be applied
 
Mkuu hapo kwenye picha Luca Mwasambwanda niyupi hapo? Au ni mcheza segere na mpiga kinanda tuu hapo Lumumba harusiwi kusafiri??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…