Hii ndio hali halisi ya Uhaba wa Mafuta Kyela, foleni utadhani zile za maduka ya RTC

Hii inasikitisha sana

Huku limkataba la bandari limepitishwa kwa lazima bila kujua kilichomo ndani

Waarabu wa DP world Dubai wamevamia nyanda za juu kusini kujenga misikiti

Kazi ipo?
 
Hii inasikitisha sana

Huku limkataba la bandari limepitishwa kwa lazima bila kujua kilichomo ndani

Waarabu wa DP world Dubai wamevamia nyanda za juu kusini kujenga misikiti

Kazi ipo?
Ndo uwekezaji wa wenzetu tukisema hawa DP watatuingiza ktk shida maCCM yanalazimisha.upuuzi kabisa
 
Hii inasikitisha sana

Huku limkataba la bandari limepitishwa kwa lazima bila kujua kilichomo ndani

Waarabu wa DP world Dubai wamevamia nyanda za juu kusini kujenga misikiti

Kazi ipo?
Nimemsikia Cha wa moja pale njombe anasema DP wanaenda kujenga hoteli sijui watz wanashindwa kujenga hivyo vihoteli? Vinamsaidia nn mtanzania maskini?
 
Nimemsikia Cha wa moja pale njombe anasema DP wanaenda kujenga hoteli sijui watz wanashindwa kujenga hivyo vihoteli? Vinamsaidia nn mtanzania maskini?
Na misikiti juu wanajengewa wajipange
 
Umenikumbusha mbali sana asee miaka ya 70 huko tulivyokuwa tunapanga foleni kununua pizza na burger. Ila nyerere alitunyanyasa sana.
 
Mume mkurugenzi wa EWURA na mke ni spika wa bunge hayo ndio madhara yake.
 
Watakuambia hiyo ni ishara ya kukua kwa purchasing power ya watanzania
 
CHADEMA mhakikishe hili tatizo linaisha mtakapopewa nchi
 
Hii inasikitisha sana

Huku limkataba la bandari limepitishwa kwa lazima bila kujua kilichomo ndani

Waarabu wa DP world Dubai wamevamia nyanda za juu kusini kujenga misikiti

Kazi ipo?
DP world wajenge Barabara za lami Kila mtaa Jiji Mbeya maana kazi aliyoifanya Tulia siyo mchezo.
 
Nikijivika liroho la chadema hii inasikitisha sana, lakini nikirudi centre yaani nimelivua liroho hilo, this could be delayment, aidha gari zimechelewa kufika huko!
PICHA HII INANIPA TAFSIRI YA KWAMBA ENEO HILO VITUO NI VICHACHE VYA MAFUTA NA IWE FURSA KWA WAFANYABIASHARA NENDENI MKAWEKEZE HUKO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…