Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Kuna mwanaJF mmoja hapa kila nikihojiana naye humu huwa ananiuliza kama tukiitoa CCM ni chama gani mbadala?Tumepokea ushauri wako na tayari umefanyiwa kazi
Jibu analijua lakini kwa sababu ya propaganda na siasa hasi zilizoasisiwa na CCM anaamini nchi hii ni mali ya CCM na hatuna la kufanya.
Tunawaombea heri