Kuna mwanaJF mmoja hapa kila nikihojiana naye humu huwa ananiuliza kama tukiitoa CCM ni chama gani mbadala?Tumepokea ushauri wako na tayari umefanyiwa kazi
Miaka ya 70 zilikuwepo pizza na burger π Kweli ??! π πUmenikumbusha mbali sana asee miaka ya 70 huko tulivyokuwa tunapanga foleni kununua pizza na burger. Ila nyerere alitunyanyasa sana.
Wahenga walisemaga Umoja ni Nguvu na utengano ni Udhaifu !!Kuna mwanaJF mmoja hapa kila nikihojiana naye humu huwa ananiuliza kama tukiitoa CCM ni chama gani mbadala?
Jibu analijua lakini kwa sababu ya propaganda na siasa hasi zilizoasisiwa na CCM anaamini nchi hii ni mali ya CCM na hatuna la kufanya.
Tunawaombea heri
Astaghifilullah! Wanaenda kuzika au ni foleni ya kununua "wese"?Badala ya Wanasiasa wa Tanzania kubinafsisha vitu vya hovyo kama hivi, wanabinafsisha Bandari.
Hebu angalia foleni ya wanunuzi wa Mafuta Kyela kama ilivyofumwa na Team ya Chadema inayoratibu Oparesheni 255 Okoa Bandari zetu, inayounguruma Kanda ya Nyasa.
View attachment 2791181
Swali muhimu.Wahenga walisemaga Umoja ni Nguvu na utengano ni Udhaifu !!
Je Umoja miongoni mwa Wananchi wote upo ??!!